afadhar umeuliza, mana mwanzo nilitaka niseme ila nikakausha... afu sijasema mabwepande..
- ishu ya security: events zikifanyika sehem zote mbili wakat mmoja afu vurugu ikitokea huoni kuna hatari? mabomu je? watu watakaa kwa aman hapo?
-ishu ya umeme: hapo zipo eneo moja so the line ya umeme is same, umeme ukikatika wote watakosa umeme. utasema majenera yapo

-ishu ya folen: utaleta folen zisizo na sababu ya msingi kwa kukusanya watu/magar mengi sehem moja.. wakat huohuo serikali eti inataka kupunguza folen jijin Dar
-kueneza mji: kuweka hizo big infrastructures sehem moja unakosesha kuuneza maji, inabid hata watu wengine mfano mwenge, au hata pale ubungo maji wafarijike mtaan kwao kuna indoor arena

-unakosesha watu wengine kwenye ishu za biashara.. wafanyabiashara wa eneo hilo tu ndo watafaidika.. what if ukajenga mfano mbezi au ubungo maji au mwenge, kuna namna wafanyabiashara watawekeza huko na kulipa kodi (unaongeza kodi).. etc
- umeongea ishu ya brt au barabara, mwenge brt itakuwepo, ubungo morogoro rd yote ina brt, hata huko tegeta brt itakuwepo.. sio lazima huku tu.. hata huko mbagala au sijui gongolamboto kunafaa ambapo brt itakuwepo pia, lkn sio kuweka sehem moja hapo Taifa
- na mengine mengi tu wengine wanaweza kuongeza
na hapo taifa pemben ningeona ni jema kama wangejenga viwanja vidogo vidogo .. training pitches