Naomba tudebate bila matusi. Sisi sio adui eti kwa sababu tunasupport timu tofauti. Wewe unasupport Yanga mimi nasupport Simba lakini hio haimaanishi kwamba sisi ni adui.
Ona Russia anavyoshushiwa kichapo na TB2 drone kutoka Turkey. Yaani baada ya tank ya kwanza kupigwa bomb, unaona wanajeshi wa Russia wanashuka kutoka kwa tank zao kukimbia kuokoa maisha yao. Tank zingine zinageuza na kutoroka. Hii ni video mpya, hio sio ile ya jana.
Halafu vita hii ya Ukraine inatuhusu sisi Waafrika kwa sababu bei ya bidhaa inapanda, ikiwemo bei ya mafuta na vyakula kama ngano. Tazama PM wa Barbados alivyosema.