Nakwambia Africa huwa tinapoteza pesa nyingi sn kama nchi kutokana na wapuuzi wachache kuwa na interest zao ambazo ni vipesa kdg ukilinganisha na pesa ambazo tungeteneza, mavikwazo vikwazo kibao yasiyo kichwa wala miguu, ukiuliza utaambiwa sheria inasema hivyo hata kama sheria yenyewe ni outdated na kwamba inawezekana ikabadilishwa kdg kulingana na mazingira ya ss. Pale JNIA panatakiwa hotel piga ua, watu wanachelewa ndege kizembe kutokana na umbali wanapoishi au walipopanga mana usafiri ni changamoto, but pangekuwa na hotel mbona watu wasingekuwa wanachelewa chelewa hovyo cz watu wanapesa zao akiona kesho nasafiri saa Tisa usiku basi kwakuwa naishi Tegeta ngoja nichukue chumba pale airport kabisa.
Cha ajabu ni kwamba kuanzia Tazara mpk Gongo la mboto hakuna hotel ya kueleweka, so sad aisee