The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Nyie mshashindwa, hii vita ipo tangu Ukiwa kijana mdogo na bado mpk ss wanawasumbua lkn huoni wazungu wakitia japo neno, ila Ukraine wamesumbuliwa kdg tu tayari mabeberu washatia mikono yao, jibu ni kwamba wazungu hawana interest yoyote na Kunyaland, so mnawashabikia watu ambao hawajali utu zaidi ya kitu.Hapa hakuna haja ya kuhusisha wazungu. Hawa Al shabab tunastahili kuwapiga sisi wenyewe.


