Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pia wana gdp per capita kubwa kushinda Kenya lakini huko kwao kila mtu ana genereta nyumbani na kazini kwa sababu ya ukosefu wa umeme hakika . Kenya hakuna mtu hata mmoja ambaye ana genereta nyumbani kwa maana umeme ni stable sana na haupotei hovyo hovyo kama inavyofanyika Nigeria.
Sasa mbona bado unaamini ktk GDP.
 
Tony acha wivu ndg yangu it's matter of time tu ila kama ni kweli msije mkawa mnajipikilisha data tu maana nyie ni ma expert kwny eneo hili hamshindwi kujifariji!!!siku ukiwa umetulia jaribu kupitia views za watu hapa jinsi wanavyosifia TB3 kuanzia facilities mpk watendaji wake walivyo poa plenty of comments gusa hapo kwny reviews ukimaliza bonyeza mshale kuendelea kusoma zingine soon tunamaliza nyote zote za rating!!!na hii ni baada ya covid kuna baadhi ya investors wali back off ila wamerudi kwa kasi kumalizia maduka tegemea maajabu zaidi mtani.
View attachment 2147747
Mm nakwambiaje subiri uone new statistics, labda wao wavizie kabla ya kutoka nao watengeneze ya kwao inayowapa relief but kiukweli kabisa JNIA imeanza kuchangamka, kwa sisi ambao mara kwa mara mishe zetu zinaruhusu kukutana na JNIA tunaona
 
Kabisa mkuu ni experience nyingine nikawa najiuliza hawa wafaransa wameanza kutamba kuwa watalifumua TB2 na kulijenga upya na watahakikisha TB3 inasubiri kwa modernity na uzuri!!since itakuwa hub abiria wa domestic na international wanakutana!!!nikabaki najiuliza sa itakuaje!mchakato wa hotel ya 4 star unakwenda kwa kasi ambayo almost itakuwa na ghorofa nane japo jiji wanataka kuleta kauzibe!!plus commercial complex!! mmmmh!
Ghorofa 8 pale airport au wapi
 
Hahaha Mimi sipingi kwamba TB 2 au 3 ina reviews nzuri kwenye internet. Nimeshasema kwamba airport terminal yenu ni ya kisasa na inapendeza kweli. Sasa haishangazi kwamba abiria wanaifurahia na kuipatia ratings nzuri. Lakini pia nimesema kwamba airport yetu ya JKIA ambayo mimi nakubali terminals zake nyingi ni nzee, bado inapokea abiria wengi kushinda airport zenu zote. Itawachukua angalau miaka mitano ili airport zenu zote kufikia kiwango au idadi ya abiria ambayo JKIa inapokea kwa sasa.

Cc Geza Ulole
🤣🤣🤣🤣
 
Nigeria ina nafuu kushinda Kenya? Kivipi? Unaijua Nigeria vizuri kweli? Wao wamepigwa na boko haram kushinda Kenya tulivyopigwa na Al shabab. Wao hawana umeme hakika na kila duka au jumba lina genereta kwa maana umeme huwa unakuja kwa masaa manne kisha unasepa. Kenya tuna umeme wa hakika ambao haupotei kushinda nchi yoyote ukanda huu. Nigeria ni corrupt kushinda Kenya.
u r birds of the same feathers! wacha kukana mwenzio mliye-vote naye Yes pale UN! 😀😀😀
 
9413739_142125739476628353557541521931531106412220n_jpeg01dc98bf87a3c95bcc833ac18ae96b75.jpeg
9413738_140541969369913364229043834930867867988466n_jpgf3023bde5aad17bfd4613082d66e42ab.jpeg
IMG_20190331_000858.jpg
9413736_131008068662133668340358560683137077753363n_jpgd5a4a3dd7d4cbbdf8e120528ebe0b9b3.jpeg


9413737_133073778816826586204395255037823424191785n_jpg1ec48348de1d0c6ebe3e30de134c9591.jpeg
 
Hehehehe ndiyo nasuburi nione wafaransa watafanyaje mpk TB2 iwe Kali kuliko TB3. Mana kwanza TB3 ukiingia tu unajikuta kama upo dunia nyingine kabisa, kwanza utapigwa baridi moja matata plus mandhari yake ya usafi isiyobadirika, wageni wanausifia sn huu uwanja, alafu anatokea kima eti analinganisha JNIA na JKIA
Na kuna ule wa abeid karume nao ni nomaa mzee
 
Ghorofa 8 pale airport au wapi
Yes kaka pale kwny eneo la wazi krb na kituo cha mafuta cha puma,TCAA ambao ni regulator wao hawana shida maana si upande unaoathiri kuruka na kutua kwa ndege ukiangalia runways designation!Inaoneka hata upande wa pili wa barabara umedumaa au unaendelea mdogo mdogo sana kwa ajili ya vikwazo kama hivi vya jiji na kuwepo kwa kambi ya jeshi!!haya ni mawazo yangu binafsi.
 
Yes kaka pale kwny eneo la wazi krb na kituo cha mafuta cha puma,TCAA ambao ni regulator wao hawana shida maana si upande unaoathiri kuruka na kutua kwa ndege ukiangalia runways designation!Inaoneka hata upande wa pili wa barabara umedumaa au unaendelea mdogo mdogo sana kwa ajili ya vikwazo kama hivi vya jiji na kuwepo kwa kambi ya jeshi!!haya ni mawazo yangu binafsi.
kama jengo litahatarisha usalama basi design ibadilike au hiyo kampuni iende upande wa Segerea yaani residential uwanja wa ndege wakajenge! Hiyo ndo solution!
 
Mm nakwambiaje subiri uone new statistics, labda wao wavizie kabla ya kutoka nao watengeneze ya kwao inayowapa relief but kiukweli kabisa JNIA imeanza kuchangamka, kwa sisi ambao mara kwa mara mishe zetu zinaruhusu kukutana na JNIA tunaona
Ni kweli kabisa pameanza kuchangamka kwa kasi sana!!!!!na unajua hii TB3 haikupata wasaa wa kutumika ipasavyo kwa sababu ya uviko maana limefunguliwa tu ugonjwa nao huo.
 
Yes kaka pale kwny eneo la wazi krb na kituo cha mafuta cha puma,TCAA ambao ni regulator wao hawana shida maana si upande unaoathiri kuruka na kutua kwa ndege ukiangalia runways designation!Inaoneka hata upande wa pili wa barabara umedumaa au unaendelea mdogo mdogo sana kwa ajili ya vikwazo kama hivi vya jiji na kuwepo kwa kambi ya jeshi!!haya ni mawazo yangu binafsi.
Aah mm naona wangejenga upande wa pili uku wa makazi ya watu na viwanda ile view ya pale airport wasizibe
 
kama jengo litahatarisha usalama basi design ibadilike au hiyo kampuni iende upande wa residential uwanja wa ndege wakajenge! Hiyo ndo solution!
Upande wa pili sioni dalili za kufanya hivyo mradi wenyewe ni wa PPP na ni lazima uhusishe eneo la airport!!!!shida investors wanaangalia Idadi ya vyumba vs jengo lenyewe ukipunguza idadi ya vyumba kwa makadirio yao ya faida ni tatizo! na mpango uliopo ni BOT Build Operate then Transfer! So hata design ya hotel yenyewe inatoka kwa mwekezaji!taasisi za serikali ni kupitia na ku-approve tu.
 
Back
Top Bottom