Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lakini bado utaulizwa huo umeme wa rufiji mtautumiaje hehe
In the next five years mahitaji ya umeme yatakuwa makubwa sana, hii investment yote itakuwa kigamboni na Huyu ni one investor, amesema kuna investors wengine kutoka Egypt wanataka kuja kuinvest! On top of that kuna industrial parks zinakuja kuanzishwa pwani hivi karibuni na mama juzijuzi alikuwa Dubai kuna investors wameshasaini mikataba kuja kuwekeza bila kusahau juzi kati GSM alinunua malori mengi kutoka kampuni moja ya China jina limenitoka, Hii kampuni imevutiwa sana na imesema inakuja kuleta assembly plant in TZ maana wanauza units nyingi.
 
Na wageni na civilian walivyoruhusiwa kuondoka hadi Jumatatu Ukraine kutakua kuna majivu sehemu nyingi kabla rais wao astep down mapema. Siombei mabaya lakini urusi hawana huruma watapiga sana .

Halafu sijui kwa nini raisi wao asikubali matokeo anaomba NATO wafanye anga Lao no fly zone means ,They failed to protect by themselves. Akubali hili kulinda infrastructure zao
Uta step wewe kabla ya Zelensky
 
Hata ukilia haitosaidia, Tz inaongoza ktk suala electricity connectivity in Africa co tu EA pekee bali kwenye suala la umeme hasa vijijini hatushikiki.
Mnaongoza indeed 😂😂👇👇

Kenya
Screenshot_20220305-165007.png


Tanzania

Screenshot_20220305-165339.png
 
Wanaosema kwamba sanctions haziwezi kuiaffect Russia muwache ujinga. Russia imeamua kuwacha kuuza foreign currency yaani dollar, Euro na kadhalika kuanzia sasa hadi September. Yaani kwa miezi sita zijazo wafanyibiashara wa Russia watakosa kabisa dollar wanapotaka kuitumia dollar kuimport mizigo. Mizigo nyingi huimportiwa kutumia dollar sasa sijui wafanyibiashara wa Urusi wanaotaka kuimport mizigo wataimport mizigo vipi? Halafu sio dollar tu, hata Euro, Yen, Yuan zote hazitauzwa Urusi kuanzia leo hadi September. Hio ina maana kwamba hakuna mfanyibiashara Urusi ambaye anaweza kuimport mizigo unless atumie gold au silver kama currency. Yaani kwa ufupi uchumi wa Russia umekufa. Sijui kwa nini baadhi ya Wabongo wachache hapa JF wanafikiri kwamba wanaweza kuwakingia beberu kifua na wabaki salama. Beberu akiamua kukumaliza atakumaliza tu kwa sababu wao ndio wanacontrol dunia. Hata pesa unayotumia kuimport mizigo (Euro,dollar) wao ndio wanacontrol.
Cc joto la jiwe ichoboy01



Pia Russia wameanza kutapatapa na kutoa vitisho mbuzi baada ya several western industries ku shut operations zao huko kwa Hitler wa zama hizi.

Screenshot_20220308-194845.png
 
Russia pia wamesema watafunga bombs lao la mafuta...Marekani wamesema wanaangalia uwezekano wa kuanza kuwapigia upya magoti Irani na Venezuela..hii vita dunia nzima itaumia not only Urusi
Marekani hawezi mpigia magoti Venezuela wakati kampuni zake ndio mzalishaji na mnunuzi mkuu wa mafuta ya Venezuela.

Hilo la Iran ni nafuu kwake kwa sababu ni swala la US ku lift vikwazo tuu mafuta yatamiminika.

Saudia wamekataa kuongeza uzalishaji wanataka wa capitalize kwenye bei ya Sasa.
 
Russia will one day regret their invansion.Today China is refusing to trade in Ruble,in some markets Ruble has reached 154 per USD.In short Russian may enter economic ressssion in their history.
China hawezi fuata njia ya kipumbavu ya Putin kutafuta nafasi ya Superpower..

China anachukua njia ya kujenga Uchumi then itakuwa simple kujenga jeshi sio kama hao kima wa Russia wanakomaa na jeshi at the expense the economy.

In fact US has the reason to worry about China, Germany na India.
 
Elsewedy company from Egypt imeshapewa ardhi today kuanza ujenzi wa viwanda vyake almost 50+, gharama nzima will be 3 billion dollars na watanzania wapatao 40000 wataajiriwa directly and more than that indirectly. SOURCE: TBC ARIDHIO BUSINESS NEWS.
Watakwambia mama anazurura 🤔🤔
 
Back
Top Bottom