Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

propaganda ya western 😂😂😂😂 kipigo wanakula na propaganda juu
Propaganda au sio? 😄😄

Screenshot_20220309-070433.png


Screenshot_20220309-065907.png


Screenshot_20220308-195105.png


Screenshot_20220308-193702.png
 
Acha umama na mitusi tu, huwezi kuwa mature for once? Ukishindwa grow some balls and accept like a man, don't be stupid ranting insults😅😅🤣🤣
Do you think this is an error? Nairobi got you Yip yappin here like a lil bish 😅
View attachment 2144900

If the built up area is 1500 km² then does that mean 2/3 of the area is total darkness??! That makes sense considering the kind of complaints to TANESCO, No power..
Kamji kadogo na hizo pori zoote na bado inawangaria , aibu sana 🤣
View attachment 2144904
Sawa umeshinda.. case closed. Sipo hapa bishana na wapumbavu
 
Kujisemesha ni rahisi Sana ila uhalisio huko battleground Hali iko hivi

View attachment 2144979

View attachment 2144980
umewahi kuona mapigano gani ya kivita huwa wanakufa upande mmoja,au vifaa vya kivita vinaharibika upande mmoja ?

ulitaka vifaa vya Russia na Jeshi lake kwa ujumla kusitokee na madhara hata kidogo?,,

kwenye vita yeyote ile lazima mpunguzane ila mwisho wa siku lazima bingwa aibuke,na bingwa hupatikana baada ya uharibifu na madhara makubwa kutokea uwanja wa medani,

WAIT MDA WA HITIMISHO wa huo mgogoro ufike ndiyo tutajua nani ni nani na yupi ni nani siku zote mda huongea uhalisia wa mambo

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
In the next five years mahitaji ya umeme yatakuwa makubwa sana, hii investment yote itakuwa kigamboni na Huyu ni one investor, amesema kuna investors wengine kutoka Egypt wanataka kuja kuinvest! On top of that kuna industrial parks zinakuja kuanzishwa pwani hivi karibuni na mama juzijuzi alikuwa Dubai kuna investors wameshasaini mikataba kuja kuwekeza bila kusahau juzi kati GSM alinunua malori mengi kutoka kampuni moja ya China jina limenitoka, Hii kampuni imevutiwa sana na imesema inakuja kuleta assembly plant in TZ maana wanauza units nyingi.

Ni Sinotruk International, wana mpango wa kuwekeza $20 million.
 
tanganyika wanapumulia 30% ilhali serikali yao ya ccm inawadanganya ati "tanzania inaenderea" crap....na fake electric powered train ya max 140km per hour
Hii treni ndiyo itakayowakimbiza wakenya wote humu ndani mana mna roho mby na hampendi kuona Tz ikileta new technology EA, mngependa iwe ni Kenya lkn uwezo wa kipesa na akili vimefanya modern infrastructures zote zianzie Tz zen nyie nchi jirani mtafuata baada ya miaka mia 5.
 
Hii treni ndiyo itakayowakimbiza wakenya wote humu ndani mana mna roho mby na hampendi kuona Tz ikileta new technology EA, mngependa iwe ni Kenya lkn uwezo wa kipesa na akili vimefanya modern infrastructures zote zianzie Tz zen nyie nchi jirani mtafuata baada ya miaka mia 5.
We unafkiri hizo treni za umeme watakuanazo baada ya miaka mitano.? 😅😅😅 It will take them 30-50 years
 
Back
Top Bottom