Acting big with no muscles to flexThe hypocrisy of Kunyaland, walk ur talk now, why not putting Russia on sanctions?



Acting big with no muscles to flexThe hypocrisy of Kunyaland, walk ur talk now, why not putting Russia on sanctions?



Tembo mweupe! unachekesha do you know how much tonnage za madini Burundi ana ecport yearly pia Rwanda and eastern DRC? Sgr inaenda kubeba mzigo wote huo na pia bado on the Tanzanian side inapita kwenye alot of mining areas. Hapa tunapiga hesabu ya mizigo mizito ya mining sio hesabu za kitoto za kusafirisha blueband na mafuta ya kupikia.Burundi unajua Gdp yake ni $3 billion? Huwa mnatutishia na Burundi hadi nasikia kucheka. Gdp ya Kenya ni kubwa kushinda ya Burundi zaidi ya mara 35. Mradi ni tembo mweupe ukizingatia kwamba Burundi haina uwezo wa kifedha wa kujenga reli hio. Angalau DR Congo wana uwezo. Lakini jengeni tu yote ni maendeleo ya Afrika na sina tatizo nikiona Afrika ikisonga mbele.
Yah sureSisi waafrika ndio tutapoteza sana kwenye hii vita kuliko europe na marekani maana wao wana chumi stahimilivu.
Wana Nickel ya kutosha!Burundi unajua Gdp yake ni $3 billion? Huwa mnatutishia na Burundi hadi nasikia kucheka. Gdp ya Kenya ni kubwa kushinda ya Burundi zaidi ya mara 35. Mradi ni tembo mweupe ukizingatia kwamba Burundi haina uwezo wa kifedha wa kujenga reli hio. Angalau DR Congo wana uwezo. Lakini jengeni tu yote ni maendeleo ya Afrika na sina tatizo nikiona Afrika ikisonga mbele.
Burundi unajua Gdp yake ni $3 billion? Huwa mnatutishia na Burundi hadi nasikia kucheka. Gdp ya Kenya ni kubwa kushinda ya Burundi zaidi ya mara 35. Mradi ni tembo mweupe ukizingatia kwamba Burundi haina uwezo wa kifedha wa kujenga reli hio. Angalau DR Congo wana uwezo. Lakini jengeni tu yote ni maendeleo ya Afrika na sina tatizo nikiona Afrika ikisonga mbele.
Sikujua kwamba kiingereza chako ni kikali namna hiyo. Itakuwa wewe ulisomea zile shule private hapo Dar, hukusomea shule za serikali.So many Nairobians are cramped up in a small space hence the intensity of light increases.
Hio imetosha kuwaokoa. Nickel ina uhaba mkubwa sana kwa sasa. Wakikosa investors hata afadhali wachukue majembe waende wakaifukue tu. Hahaha.Wana Nickel ya kutosha!
Na hata hizo Foreign shares ni leased. Safaricom is a Government owned entity. It just leased some of it's shares to the private sector in order to remain flexibleWatanzania huwa wanakasirika sana wanapoona Safaricom is more than half owned by Kenyans.
GoK 35%
Local investors 15%
View attachment 2141852
View attachment 2141853
Yaani America haina Ldc hata moja kuanzia juu Canada hadi Chini Brasil. Dah!
Wenzio wanashirikiana na Tanzania kujenga smelter Buzwagi!Hio imetosha kuwaokoa. Nickel ina uhaba mkubwa sana kwa sasa. Wakikosa investors hata afadhali wachukue majembe waende wakaifukue tu. Hahaha.
Durban ni ndogo Sana kulinganisha na Nairobi. Kwani Baba levo hakuwaambia Nairobi ni kama New York.Durban exhibition centerhapa ni world class facilities tu.. wala hii sio US View attachment 2142189View attachment 2142194indoor Arena View attachment 2142198View attachment 2142207View attachment 2142224kwazulu stadia
View attachment 2142211View attachment 2142213View attachment 2142216View attachment 2142217Durban international airport
View attachment 2142218View attachment 2142219View attachment 2142220View attachment 2142223ndio Nairobi itie pua hapa
![]()
Mzee as mtu wa Finance unatakiwa uache hizi wivu ndogondogo, huwezi jua labda Mchina au EU wanataka ku-finance hii maneno? Burundi si wajinga kusaini huu mradi!Hio imetosha kuwaokoa. Nickel ina uhaba mkubwa sana kwa sasa. Wakikosa investors hata afadhali wachukue majembe waende wakaifukue tu. Hahaha.
Sawa mzee umejieleza vizuri. Nasikia hata Burundi wana Nickel. Hamna shida jengeni tu.Tembo mweupe! unachekesha do you know how much tonnage za madini Burundi ana ecport yearly pia Rwanda and eastern DRC? Sgr inaenda kubeba mzigo wote huo na pia bado on the Tanzanian side inapita kwenye alot of mining areas. Hapa tunapiga hesabu ya mizigo mizito ya mining sio hesabu za kitoto za kusafirisha blueband na mafuta ya kupikia.
Nilikuwa na joke tu. Hakuna nchi inayostahili kudharauliwa hata kama ni masikini vipi. Kila nchi ina uwezo, bora ipate uongozi bora.Mzee as mtu wa Finance unatakiwa uache hizi wivu ndogondogo, huwezi jua labda Mchina au EU wanataka ku-finance hii maneno? Burundi si wajinga kusaini huu mradi!
Sipo sure kwa sababu hii ni breaking news lakini kulingana na ninachosoma Twitter ni kwamba all foreign currencies haziwezi kununuliwa Russia hadi September. Transactions zote lazima zifanywe kwa kutumia rubles. Wacha nitaconfirm kesho kama yuan pia imezuiliwa. Lakini hata kuzuiwa kwa dollar na Euro pekee bado ina impact kubwa sana kwa uchumi wa Russia ukizingatia kwamba Russia huwa inaimport technological products and machinery hususan kutoka Germany na The West in general.
Kenya is a beacon of hope in AFRICA.....Proud to be Kenyan