Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20220309-202349_Facebook.jpg
 
Elsewedy company from Egypt imeshapewa ardhi today kuanza ujenzi wa viwanda vyake almost 50+, gharama nzima will be 3 billion dollars na watanzania wapatao 40000 wataajiriwa directly and more than that indirectly. SOURCE: TBC ARIDHIO BUSINESS NEWS.
Lakini bado utaulizwa huo umeme wa rufiji mtautumiaje hehe
 
Max zimmerudi kimya kimya! Wale wale waliokuwa wanamponda bwana Yule kununua ndege leo wanashangilia ndege zikinunuliwa na mama Yule!
Hizo zote zimenunuliwa na bwana yule walichofanya ni kubadili aina kwa kuleta Max but Magu mwanaume bhn, ila pia Mama naye Nampa kongole kwa kuendeleza Yale mazuri yote ya bwana yule, ofcz nikiwa pale JNIA huwa Nina furaha kuu ni apoona madege yetu ya kupendeza yanapiga kazi huwa nafurahi sn kiasi kwamba siwezi kuelezea furaha yangu.
 
Wacha kulazimisha fikra zako za kipuuzi wewe punguani, built up area DSM ni 3× larger than Nairobi, ndio kuna uplaned settlements nyingi lakini hiyo haibadilishi maana ya kwamba eneo la jiji la DSM lililojengwa ni 1500km2.. satellites ndio zitabadilisha ukweli au.? 😂😂, Dar iko na green spaces nyingi tu ila sio mapori kama NAIROBI, mji unatakiwa kuwa na green spaces sio misitu kama uko kwenu
If the built up area is 1500 km² then does that mean 2/3 of the area is total darkness??! That makes sense considering the kind of complaints to TANESCO, No power..
Kamji kadogo na hizo pori zoote na bado inawangaria , aibu sana 🤣
images (21).jpeg
 
Mwambie kuanzia Posta hadi Mapinga ambao ni mpaka wa Dar na Mkoa wa Pwani, Bagamoyo hakuna gap ni jengo baada ya jengo. Pia mwambie kuanzia Posta hadi Kibaha ambao ni mkoa wa Pwani tena hakuna gap, ni jengo baada ya jengo. Vile vile kutoka Posta hadi Kongowe,Mwandege huko ambapo unaingia tena mkoa wa Pwani hakuna gap!
Your explanations do not matter at this point cause we do have built up areas so large and so many as well but we choose not to mention. By your explanations, Nairobi should have a lit area about a third of Dar, but does this image look like a third?

images (23)_1.jpeg
 
Good evening ladies and gentlemen. Let's remind ourselves that Tanzania with a population of 60+ million has only 2.7M customers connected to electricity while Kenya with a population of 47M has 8.5M customers connected to electricity 😊😊

Screenshot_20220305-165339.png


Screenshot_20220305-165007.png
 
Good evening ladies and gentlemen. Let's remind ourselves that Tanzania with a population of 60+ million has only 2.7M customers connected to electricity while Kenya with a population of 47M has 8.5M customers connected to electricity

View attachment 2144927

View attachment 2144928
Hata ukilia haitosaidia, Tz inaongoza ktk suala electricity connectivity in Africa co tu EA pekee bali kwenye suala la umeme hasa vijijini hatushikiki.
 
Peleka Upumbavu wa kutojua transaction zote za Russia za mauzo ya gesi, metals, silaha, technology na mafuta kwa nchi za EU n global zitakuwa wired kupitia UnionPay ambayo ipo dunia nzima kama swift!

Usiwe zuzu wa kusema EU inaweza kuipa sanction Russia wakati ni main source of her energy needs. Tayari France na Germany wanapinga oil embargo!


EU imesema itapunguza kwa 2/3 by the end of this year Ili kuondoa kiburi cha hiyo karagosi wenu Putin.

Screenshot_20220308-193020.png
 
Back
Top Bottom