Ni mpuuzi sana huyo jamaa 😅zwazwa analazimisha pori Sama boy 255 😂😂😂😂😂😂
Wacha kulazimisha fikra zako za kipuuzi wewe punguani, built up area DSM ni 3× larger than Nairobi, ndio kuna uplaned settlements nyingi lakini hiyo haibadilishi maana ya kwamba eneo la jiji la DSM lililojengwa ni 1500km2.. satellites ndio zitabadilisha ukweli au.? 😂😂, Dar iko na green spaces nyingi tu ila sio mapori kama NAIROBI, mji unatakiwa kuwa na green spaces sio misitu kama uko kwenuWhat you gave us is the boundary area, not the built up area. Satelitte images zinaonyesha built up area ya Nairobi ni kubwa. Dar kukosa pori ni due to poor planning, sio kitu cha kusherehekea.
Mwambie kuanzia Posta hadi Mapinga ambao ni mpaka wa Dar na Mkoa wa Pwani, Bagamoyo hakuna gap ni jengo baada ya jengo. Pia mwambie kuanzia Posta hadi Kibaha ambao ni mkoa wa Pwani tena hakuna gap, ni jengo baada ya jengo. Vile vile kutoka Posta hadi Kongowe,Mwandege huko ambapo unaingia tena mkoa wa Pwani hakuna gap!Wacha kulazimisha fikra zako za kipuuzi wewe punguani, built up area DSM ni 3× larger than Nairobi, ndio kuna uplaned settlements nyingi lakini hiyo haibadilishi maana ya kwamba eneo la jiji la DSM lililojengwa ni 1500km2.. satellites ndio zitabadilisha ukweli au.? 😂😂, Dar iko na green spaces nyingi tu ila sio mapori kama NAIROBI, mji unatakiwa kuwa na green spaces sio misitu kama uko kwenu
wacha ujuaji!a321xlr would have been a much better choice range wise,seating capacity and almost the same price ya hii 737 max 9
no sooner does he touch tht battery, than the rest is history.. 💥💥💥💥🔥🔥🔥Huku kwetu huwa inaanguka tanker ya petrol watu wanachota mafuta na ndoo mpaka atokee genius mmoja achomoe betri!
😀😀😀 you can not believe.... it has happened several times!no sooner does he touch tht battery, than the rest is history.. 💥💥💥💥🔥🔥🔥
Hizo ni eneo za Dar, za Nairobi unazijua?Mwambie kuanzia Posta hadi Mapinga ambao ni mpaka wa Dar na Mkoa wa Pwani, Bagamoyo hakuna gap ni jengo baada ya jengo. Pia mwambie kuanzia Posta hadi Kibaha ambao ni mkoa wa Pwani tena hakuna gap, ni jengo baada ya jengo. Vile vile kutoka Posta hadi Kongowe,Mwandege huko ambapo unaingia tena mkoa wa Pwani hakuna gap!
We mbona huelewi ni kichwa ngumu wewe 😂😂 Dar na huo ukubwa wa 1500km2 ni jengo baada ya jengo in each and every direction all the way to Pwani region, sasa hako ka Nairobi 500+ ndio katawezana hata kama kutakua hakuna pori wala empty space.?Hizo ni eneo za Dar, za Nairobi unazijua?
Yap ..i was saying this all over skyscrapper ukizingatia tuna Airbus A220 tayari mm nilitaka xlr ...looks like ni deal la marekani..usione grants and loans..etc hayo yanatokana ma kumake deals kama hizi ..politics everywhere mana321xlr would have been a much better choice range wise,seating capacity and almost the same price ya hii 737 max 9
Nimeshindwa hata nimjibu nini.We mbona huelewi ni kichwa ngumu wewe 😂😂 Dar na huo ukubwa wa 1500km2 ni jengo baada ya jengo in each and every direction all the way to Pwani region, sasa hako ka Nairobi 500+ ndio katawezana hata kama kutakua hakuna pori wala empty space.?
mjuaji mimi au wewe, sio kila kitu lazima ujibu comments zako. No body asked for your input.wacha ujuaji!
Bro.....don't waste so much of your energy on these tanganyika nincompoops.....they are as dumb as sheep and explaining anything to them is a dead end.....tell him nairobi is its city proper+the metropolitan area. dont forget to tell him boundaries, are just but 'imaginary line'.! lol.
let him also reffer to newyork city which almost has the same sq metres as nairobi yet among the largest cities in the world as another example