The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Yaani badala ya kujenga skyscraper huko kwenu Dar es Salaam ambako hakuna skyscraper, mnatumia kodi za serikali yenu kuja kujenga skyscraper huku Kenya? Maoni yenu ni gani Wabongo kuhusu hili jambo?
Bring a proof! The 2 Tanzanian brothers r third largest individuals with a $5 mln worthy of shares!ichoboy01 na Geza Ulole punguzeni wivu. Wakenya lazima wanamiliki angalau nusu ya hio 25%.
Hizo sanctions hazichukui au hazidumu hata miezi sita!True. By the way FYI, hii pipeline ya Nordstream 2 ni ya pili. Kuna pipeline mzee yenye inatoka Russia inapitia Ukraine na inaishia Germany. Hio pipeline bado inafanya kazi kwa hivyo Nordstream 2 ni useless for now. Ndio maana Germany wamesema hawataitumia. Also Germany wamesema wanaanza kujenga two gas terminals so that they can buy gas directly from other producers like Qatar so that they can stop relying on Russian gas. Also Germany has imposed all the sanctions that EU has imposed on Russia. Germany sio mpole for now. Hakuna sanction wamekosa kuimpose. Walikuwa reluctant kuimpose sanctions before the war but after the war wamekuwa wakali sana. In fact Germany ilikuwa inakataa kuinvest kwa military yao saa hii wamekubali kuspend at least 2% of their Gdp on their military. Hii war imechange foreign policy ya Germany kabisa.
Hilo jambo hata mm siliungi mkono, kutakuwa kuna wahuni wanataka kupiga pesa wamemrubuni mama, na maskini ya Mungu mama wa watu huenda hata hajui aseme nn, wahuni watakuwa wamemuongopea serikali itapata pesa, yn vipesa vya kudunduliza vitakavyopatikana kwenye huo mradi wala haitarudisha hyo pesa, ofcz hapo tutawanufaisha wakenya kwa vipesa mbuzi watakavyopata wapigaji, siungi mkono huu upumbavu.Yaani badala ya kujenga skyscraper huko kwenu Dar es Salaam ambako hakuna skyscraper, mnatumia kodi za serikali yenu kuja kujenga skyscraper huku Kenya? Maoni yenu ni gani Wabongo kuhusu hili jambo?
Geza Ulole ichoboy01 The best 007 Sama boy 255 itakuwa serikali yenu inafahamu vyema kwamba ikisimamisha skyscraper Nairobi itacollect rent ya kutosha lakini ikijenga Dar es Salaam itakosa wateja? Sijui huwa tunapiga battle kwa nini na serikali yenu inaonyesha fika kwamba Nairobi ndiko kuna biashara zaidi. Yaani serikali yenu inakataa kujenga skyscraper Dar inakuja kujenga Nairobi halafu wajinga bado wanalinganisha Nai vs Dar?
Tuanze na population, Kwenye population Nairobi imeichapa Durban.
Hii plan ni ya zamani. Usimsingizie mama. Nakumbuka hata wakati wa Magufuli, hii plan bado ilikuwepo ila sijui ni kwa nini ujenzi haukuanza wakati ule. Mradi huu ulikuwa umekufa sasa umefufuliwa tena.Hilo jambo hata mm siliungi mkono, kutakuwa kuna wahuni wanataka kupiga pesa wamemrubuni mama, na maskini ya Mungu mama wa watu huenda hata hajui aseme nn, wahuni watakuwa wamemuongopea serikali itapata pesa, yn vipesa vya kudunduliza vitakavyopatikana kwenye huo mradi wala haitarudisha hyo pesa, ofcz hapo tutawanufaisha wakenya kwa vipesa mbuzi watakavyopata wapigaji, siungi mkono huu upumbavu.
Na tukisema mnapigana sana miti mnabisha, yn kamji kana 696km² na mpo over 5mil au 6mil, Deben Ina zaidi ya 2200km² wapo mil 3 pekee na bado wamewazidi kwenye uchumi. Sasa hapo huoni kama umejidhalilisha?Tuanza na population, Kwenye population Nairobi imeichapa Durban.
Nairobi's population = 5 million
Durban's population = 3 million.
Magufuli ajenge jengo refu Nairobi wkt hata Dar alizuia ujenzi wa majengo marefu yasiyo na tija! Hivi unajisikia unachosema kweli?Hii plan ni ya zamani. Usimsingizie mama. Nakumbuka hata wakati wa Magufuli, hii plan bado ilikuwepo ila sijui ni kwa nini ujenzi haukuanza wakati ule. Mradi huu ulikuwa umekufa sasa umefufuliwa tena.





Nimekuwa nikigoogle sasa hivi, nimeshangaa kuona Durban ina gdp ya $83 billion. Nimeinua mkono. Sitaki hii battle. Hahaha. Wacha battle iishe.Na tukisema mnapigana sana miti mnabisha, yn kamji kana 696km² na mpo over 5mil au 6mil, Deben Ina zaidi ya 2200km² wapo mil 3 pekee na bado wamewazidi kwenye uchumi. Sasa hapo huoni kama umejidhalilisha?
Mm nashangaa mnavyowapa air time kuhusu Deben vs Ka Nairobi, ni mbingu na ardhi. Inatakiwa mkiona wanaanza kuongea upumbavu wa kulinganisha ka slum town Kao na miji ya watu iliyopangiliwa basi muwe mnawaacha wajiconsole wenyewe mana wengine huwa tunaona kinyaa hata kuongelea huu upuuzi.
Kamji hakana reliable public transportation, kamji hakana modern infrastructures ndiyo mkaifananishe na Deben, mkiwajibu kesho watataka battle na Joburg wasenge hawa, muwe mnawaacha na upumbavu wao.


i swear before god🤚🏼.. sisi wakenya hatunanga shugli na maisha ya majirani zetu, lakini watanzania (sio tu hapa jf, kote yani) na pia kiasi waganda wanajisumbua sana na kenya, na chochote kinacho endelea huku.yani mko na machungu sana na sisi....Nyie wasenge mmekua mkitupaka mbaya sana Duniani wapuuzi nyinyi.. na mtajua hamjui this time
Wewe hujanielewa. Ndio maana nimesema ujenzi ulisitishwa. Point yangu ni kusema kwamba plan hii sio geni, hii plan imekuwa kuanzia zamani ila ilisitishwa wakati wa Magufuli.Magufuli ajenge jengo refu Nairobi wkt hata Dar alizuia ujenzi wa majengo marefu yasiyo na tija! Hivi unajisikia unachosema kweli?
you must be having retina cancer, hebu tazama hizi picha kwa kinaTorabora, mji umechakaa vinoma, kumbe picha bila make up inawezekana![]()
Ngoja nitumie rungu kuua nzi sasaKwnn huwa mnapenda unfair competition? Alafu nashangaa watu wanakupeni air time kizembe zembe, yn mji hauna miundombinu ya kisasa uende ukafananishe na miji ya watu iliyojengwa since 60s? Mji hauna BRT, electrified SGR, modern Airport wala modern bus terminals mnakwenda kushindanisha na miji ya kisasa hamuoni aibu? Alafu watu nao wanawajibu kabisa, mbn cc Dar ina modern infrastructures lkn tumekausha? Wacheni ujinga.


Aonyeshe catenary cables tuu in Nairobi ili na mimi nifunge account yangu JF. Maana hivi vyote vipo Durban na Dar pia.