Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kakimbia anakuambia kuwa Nairobi ina GDP kubwa kuliko duban

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
mbona hapa durbn na nairobaa iko levels..

africa-wealth-report.jpg
 
Hilo jambo hata mm siliungi mkono, kutakuwa kuna wahuni wanataka kupiga pesa wamemrubuni mama, na maskini ya Mungu mama wa watu huenda hata hajui aseme nn, wahuni watakuwa wamemuongopea serikali itapata pesa, yn vipesa vya kudunduliza vitakavyopatikana kwenye huo mradi wala haitarudisha hyo pesa, ofcz hapo tutawanufaisha wakenya kwa vipesa mbuzi watakavyopata wapigaji, siungi mkono huu upumbavu.
Itakuwa Uhuru alikimbushia kwenye ziara ya mama
 
Tuanze na population, Kwenye population Nairobi imeichapa Durban.
Nairobi's population = 5 million
Durban's population = 3 million.
Kwasababu hamna miji mingine iliyobora kuchukua population iliyozidi Nairobi
 
Kumbe nyinyi pia mna park? Hio park kwenye picha ya kwanza inaitwaje?
Mbona kuna Park mbili kubwa ndani ya Dar wew shida yako unasahau sana
Tuanze na population, Kwenye population Nairobi imeichapa Durban.
Nairobi's population = 5 million
Durban's population = 3 million.
😂😂😂 Hii ndio kitu pekee NAIROBI iko mbele ya Durban
 
mbona hapa durbn a nairobaa iko levels..

View attachment 2142156
Ndio mana sisi huwa tunakataaga hizi article za kutengeneza, kwasababu tunajua what's going on kwa ground Durban is four times larger than NAIROBI with the GDP of $83 billion, hii ni 3/4 ya uchumi wa Kenya nzima. You need to show up some respects to your fathers
 
Wewe pia uheshimu gdp kama mimi ninavyoiheshimu. Wewe una mazoea ya kupuuza gdp na kusema kwamba gdp ya IMF ni ya kupuuzwa. Mbona mimi nimeona Durban ina gdp kubwa kushinda Nairobi na nimekubali mara moja?
Lakin GDP ya Durban hata ukiangalia kwa ground Ina uhalisia flani hivi, honestly jamaa wako vizur bhana ..ila nyie jirani zetu kidogo kuna shida mahali au ni sisi kuwa underated but sio kwamba mnatuzidi kama mnavyojinasibu..
 
Chief don’t be twisted with their traps, hawa jamaa wanawachezea mind game kama hamjastukia, wanaanza mchezo wa kulinganisha The Might Dar es Salaam na vi mji hafifu kama Accra alafu eti Stinky Nairobi wanailinganisha na Giants kama Durban. Hii ni mind game na lengo ni kuwafanya mjisikie dhaifu, achaneni nao, kama wanataka hizi ligi wakafungue huko kisha wawaite wenye miji yao washindane huko, sisi humu tunajua battle ni Dar and Nairobi na tayari hali ni mbaya kule pande za nyang’au.

#Kichapo Kiendelee
Sure mkuu
 
Back
Top Bottom