RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,872
- 129,869
Kwanini waishambulie Russia? Wameamua kusaidia Ukraine na Russia alisema atakaesaidia atamuonesha na wamesaidia Hana cha kufanya.Hizo nchi zinaishambulia Russia kutokea kwao.?
Kwanini waishambulie Russia? Wameamua kusaidia Ukraine na Russia alisema atakaesaidia atamuonesha na wamesaidia Hana cha kufanya.Hizo nchi zinaishambulia Russia kutokea kwao.?
Kaskilize vizur maneno ya PutinKwanini waishambulie Russia? Wameamua kusaidia Ukraine na Russia alisema atakaesaidia atamuonesha na wamesaidia Hana cha kufanya.
Russia na Putin sio kama hivyo unavyotaka iwe.Kaskilize vizur maneno ya Putin
Nusu ya Safaricom inamilikiwa na Wakenya. Wewe endelea kuota.nani anamiliki safaricom?? au hujui kuna investors hapo wanatengeneza pesa kama wendawazimu ndio maana hamuna hata ushindani kwenye telecommunication sector😂😂😂
Nipo 100% sure ninachozumgumzia. Durban city ambayo iko Kwa Zulu Natal province ina gdp ndogo kushinda Nairobi. Ina watu wachache kushinda Nairobi. Kinachoisaidia ni port of Durban ambayo ni the biggest port in Sub Saharan Africa lakini Durban city yenyewe ni kadogo sana. Kama unataka battle basi tuanze sasa hivi. Leta facts zako mimi nilete zangu.Heb fanya research sutaki kujiabisha leo, usiwe na tabia ya kuzungumzia vitu usivyovijua
Unajua kwamba Durban iko na population 3.1 m.?Nipo 100% sure ninachozumgumzia. Durban city ambayo iko Kwa Zulu Natal province ina gdp ndogo kushinda Nairobi. Ina watu wachache kushinda Nairobi. Kinachoisaidia ni port of Durban ambayo ni the biggest port in Sub Saharan Africa lakini Durban city yenyewe ni kadogo sana. Kama unataka battle basi tuanze sasa hivi. Leta facts zako mimi nilete zangu.
Torabora, mji umechakaa vinoma, kumbe picha bila make up inawezekananairobi is very expansive. Plz note eastleigh was not even captured in tht shot
View attachment 2141688View attachment 2141689View attachment 2141690




Kwnn huwa mnapenda unfair competition? Alafu nashangaa watu wanakupeni air time kizembe zembe, yn mji hauna miundombinu ya kisasa uende ukafananishe na miji ya watu iliyojengwa since 60s? Mji hauna BRT, electrified SGR, modern Airport wala modern bus terminals mnakwenda kushindanisha na miji ya kisasa hamuoni aibu? Alafu watu nao wanawajibu kabisa, mbn cc Dar ina modern infrastructures lkn tumekausha? Wacheni ujinga.aloo.. durban bado sana kwa nairobi
View attachment 2141691View attachment 2141692
vs the very best of dar
View attachment 2141693
zwazwa amekasirika baada ya kuskia safaricom umiliki ni huu😂😂🤣👇👇
nye nye nye kelele nyingi wakat investors wa nje wanapiga pesa wanakimbiza kwaoView attachment 2141818
Tuseme Itakuwa around 40%, 35% GoK na 5% Kunyans! BTW kuna 2 Tanzanian brothers wana significant shares!
![]()
Rajabali brothers become first shareholders of Kenyan Safaricom
In the land of Kenyan business, accustomed to seeing major national economic operators reign supreme in the sub-region, the news did not go unnoticed: the firstwww.kapitalafrik.com
he Treasury has emerged as the biggest beneficiary of Safaricom’s runaway profitability, with initial calculations showing it will walk away with half of the Sh80 billion pre-tax profit that the telecoms operator made.
The telecoms operator is set to pay the Treasury Sh40 billion in taxes and dividends for the financial year ended March 2018, setting a new record in the amount of money a single corporation has contributed to the Exchequer in Kenya.
Safaricom yesterday announced a 14.1 per cent increase in net profit to Sh55.3 billion for the year ended March 31, having grown its total revenue by 9.8 per cent to Sh233.7 billion, a record in corporate Kenya.
Safaricom’s filings show that it has paid Sh24.62 billion in taxes for the financial year in review.
Dividends
The telecoms operator said it intends to pay shareholders a dividend of Sh1.10 a share, up from Sh0.97 the previous financial year, taking the total payout to shareholders this year to Sh44.1 billion from Sh38.9 billion paid out the previous year.
This means that the government, which holds a 35 per cent stake in the company or 14.02 billion shares, will walk away with Sh15.42 billion in dividends.
Safaricom paid the Treasury Sh22.2 billion in taxes and a dividend of Sh13.6 billion the previous year.
South Africa’s telecoms operator Vodacom, which holds a 35 per cent stake in Safaricom, is also waiting for a Sh15.42 billion dividend cheque. The UK’s Vodafone, the parent company, is set to earn Sh2.2 billion from its five per cent stake in Safaricom.
![]()
Treasury gets Sh40bn Safaricom pay cheque
Telecoms operator to send the amount to Exchequer in taxes and dividendswww.businessdailyafrica.com
Nipo 100% sure ninachozumgumzia. Durban city ambayo iko Kwa Zulu Natal province ina gdp ndogo kushinda Nairobi. Ina watu wachache kushinda Nairobi. Kinachoisaidia ni port of Durban ambayo ni the biggest port in Sub Saharan Africa lakini Durban city yenyewe ni kadogo sana. Kama unataka battle basi tuanze sasa hivi. Leta facts zako mimi nilete zangu.
Just imagine ka Nairobi bila hivyo vijengo vya mchina, hebu vitoe kwa macho yako alafu nipe jibuallow me to task you pipo with 1 assignment today.. hebu funga macho sahii na u imagin dar bila bldng tatu za blue... coz what will come to your mind will realy suprise you...
...in your vision, you'll be able to see either mogadishu, kismayu or kabul
ona.. hii hapa![]()
View attachment 2141885






Tatizo la Tony ni 1. Usahaulifu 2. Kuongea vitu asivyovijua, hizi ni cancer mbili zinazomla sana.Nilikwambia ufanye research kabla hujaleta hoja yoyote kuhusu Durban Tony254 yani ni NAIROBI nne ndio sawa na ukubwa wa Durban NAIROBIView attachment 2141981vs Durban
View attachment 2141983sijaja kukuaibisha
Ngoja hapo hapo nikushangaze bro 😂😂😂 usitoke stay tunedTatizo la Tony ni 1. Usahaulifu 2. Kuongea vitu asivyovijua, hizi ni cancer mbili zinazomla sana.
Nnachoona hapo ni cheap buildings kwakwenda mbele, ukizitoa hizo NBO towers 😂😂😂 ni kucheka tuJust imagine ka Nairobi bila hivyo vijengo vya mchina, hebu vitoe kwa macho yako alafu nipe jibuView attachment 2141984
huyo mda mwingine huwa anaropoka tuNilikwambia ufanye research kabla hujaleta hoja yoyote kuhusu Durban Tony254 yani ni NAIROBI nne ndio sawa na ukubwa wa Durban NAIROBIView attachment 2141981vs Durban
View attachment 2141983sijaja kukuaibisha
We chizi umesoma shule Gani.? Ulisoma history ijapo kidogo.? Unaujua uchumi wa Russia au unajua uchumi wa Russia kwa data za IMF.? hakuna NATO wala upuuzi Gani ambao wako na guts za kujibishana na Russia, Mwanaume alishasema kanchi kokote katakachotia pua atakanyoosha dunia ilie whether ni mwanachama wa NATO or not.. na mpaka leo UKRAINE anakula dozi na hakuna wa kumsaidia.. usicheze na nchi za ki communist wewe
Mm nashangaa mnavyowapa air time kuhusu Deben vs Ka Nairobi, ni mbingu na ardhi. Inatakiwa mkiona wanaanza kuongea upumbavu wa kulinganisha ka slum town Kao na miji ya watu iliyopangiliwa basi muwe mnawaacha wajiconsole wenyewe mana wengine huwa tunaona kinyaa hata kuongelea huu upuuzi.Eti Tony254 wewe ndio unaitaka hii battle.? Durban GDPView attachment 2141993vs NAIROBI GDP
View attachment 2141994. Durban pekee Ina uchumi unao karibia a sawa na Kenya nzima..
Tony unataka battle na Durban.?