Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

From these two pictures anybody can judge that Nairobi is better than Durban.
Ipo hivi NAIROBI is no where close to any of the top 5 South African Cities... Usijihangaishe, Kitu NAIROBI inaweza shinda labda ni population to some cities, but sio luxurious staffs au chochote kile .. I can assure you 100% ukibisha we pick mji wowote tu me ntaenda na wewe ground, hivyo vi article visikudanganye mzee..
 
Huu mji umeiva sana...Hapa east africa ni tunapiga tu kelele za bure
Amini kaka, hapa EA ni kelele hamna kitu hapa, sasa we jiulize utashindana na mtu yuko na facities za ku host kombe la dunia where by important pp from every corner of the world walienda kushuhudia huo mtanange for more than 2 months, hapa EA hatujawahi ku host hata Afcon 😂😂 alaf tunataja taja majina tu na kujiweka level moja nao 😂😂 ni dharau sana
 
Amini kaka, hapa EA ni kelele hamna kitu hapa, sasa we jiulize utashindana na mtu yuko na facities za ku host kombe la dunia where by important pp from every corner of the world walienda kushuhudia huo mtanange for more than 2 months, hapa EA hatujawahi ku host hata Afcon alaf tunataja taja majina tu na kujiweka level moja nao ni dharau sana
Mbona unasahau kukazia walihost World cup kitambo a decade ago sisi bado tunademka kaka...inaumiza sana,My fren alipata mentorship kadhaa S.A eneo fulani Jo'burgy hotel inaitwa Montecasino,baada ya masomo wakiwa wanapiga story kuna mzungu mmoja akamuuliza umetokea nchi gani?Akamjibu Tz...yule mzungu akaamuuliza hii Tz ni moja ya nchi masikini eeh? Jamaa akajibu ndio inauma sana nyie....imagine alishindwa hata kujitetea
 
Mbona unasahau kukazia walihost World cup kitambo a decade ago sisi bado tunademka kaka...inaumiza sana,My fren alipata mentorship kadhaa S.A eneo fulani Jo'burgy hotel inaitwa Montecasino,baada ya masomo wakiwa wanapiga story kuna mzungu mmoja akamuuliza umetokea nchi gani?Akamjibu Tz...yule mzungu akaamuuliza hii Tz ni moja ya nchi masikini eeh? Jamaa akajibu ndio inauma sana nyie....imagine alishindwa hata kujitetea
😂😂😂 Sie bado bro jirani tu wanapenda kujitutumua ila sisi bado sana.. tutafika lakini itatuchukua muda kidogo kufika ila tutafika at least 20 more years to come, tutafanana nao tu SA kuwa na Miji hata mitatu yenye viwango vya kidunia
 
Mbona unasahau kukazia walihost World cup kitambo a decade ago sisi bado tunademka kaka...inaumiza sana,My fren alipata mentorship kadhaa S.A eneo fulani Jo'burgy hotel inaitwa Montecasino,baada ya masomo wakiwa wanapiga story kuna mzungu mmoja akamuuliza umetokea nchi gani?Akamjibu Tz...yule mzungu akaamuuliza hii Tz ni moja ya nchi masikini eeh? Jamaa akajibu ndio inauma sana nyie....imagine alishindwa hata kujitetea
Huyo rafiki yako hana akili, hakupaswa kujibu hivyo, umaskini wa waafrika unaanzia kwenye mind, hata wasome bado haiwasaidii kuondokana na fikra za kipuuzi kama hizi, alipaswa kujibu co maskini bali ni nchi inayoendelea, umaskini hususan Tz yenye kila kitu upo kwa watu co nchi, alafu hyo SA yenyewe nao bado asilimia kubwa ni mafukara tu uchumi umemilikiwa na foreigners, lkn pia ukitoa miji yao iliyoendelea ambayo wanaishi foreigners wa South wengi wanaishi maisha ya nguruwe kabisa. Sio kama sikubali tumezidiwa ila usikubali nchi yako ikakosewa adabu na foreigner au na mtu yoyote yule, ni zambi na ni upumbavu uliotukuka.
 
Huyo rafiki yako hana akili, hakupaswa kujibu hivyo, umaskini wa waafrika unaanzia kwenye mind, hata wasome bado haiwasaidii kuondokana na fikra za kipuuzi kama hizi, alipaswa kujibu co maskini bali ni nchi inayoendelea, umaskini hususan Tz yenye kila kitu upo kwa watu co nchi, alafu hyo SA yenyewe nao bado asilimia kubwa ni mafukara tu uchumi umemilikiwa na foreigners, lkn pia ukitoa miji yao iliyoendelea ambayo wanaishi foreigners wa South wengi wanaishi maisha ya nguruwe kabisa. Sio kama sikubali tumezidiwa ila usikubali nchi yako ikakosewa adabu na foreigner au na mtu yoyote yule, ni zambi na ni upumbavu uliotukuka.
😂😂 Ila kweli kuitwa maskin ni kukosewa adabu kiasi fulani
 
Ila kweli kuitwa maskin ni kukosewa adabu kiasi fulani
Ni misemo ya wazungu kutudidimiza kifikra, unamuitaje mtu maskini kisa hana nyumba ya bati lkn ana ng'ombe 1000 na mashamba ekari kibao, anakula Milo kamili utofauti ni kwamba hali Pizza ndio umuite maskini, unaiitaje nchi maskini wkt Ina kila kitu ardhini? Kwasababu Haina flyover ndiyo uiite maskini? Sema watu wake wengi hawajaendelea, tena hapa neno kuendelea usisahau kusema as far as European standard of living is taken into consideration.
 
Huyo rafiki yako hana akili, hakupaswa kujibu hivyo, umaskini wa waafrika unaanzia kwenye mind, hata wasome bado haiwasaidii kuondokana na fikra za kipuuzi kama hizi, alipaswa kujibu co maskini bali ni nchi inayoendelea, umaskini hususan Tz yenye kila kitu upo kwa watu co nchi, alafu hyo SA yenyewe nao bado asilimia kubwa ni mafukara tu uchumi umemilikiwa na foreigners, lkn pia ukitoa miji yao iliyoendelea ambayo wanaishi foreigners wa South wengi wanaishi maisha ya nguruwe kabisa. Sio kama sikubali tumezidiwa ila usikubali nchi yako ikakosewa adabu na foreigner au na mtu yoyote yule, ni zambi na ni upumbavu uliotukuka.
Wakisema nchi masikini ofcz wanalenga wananchi,kama mnaresource kedekede na bado hazijawapa maisha mazuri basi nyie ndio tatizo,Jamaa wala hakutaka mjadala uwe mrefu maybe some years later uyo mzungu anaweza notice some changes kwa macho yake mwenyewe...it takes time lakini tutafika tu
 
Back
Top Bottom