Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Ungejibu swali ingekuwa vyema zaidi. Park hio inaitwaje?Dah nilidhani wanakusingizia![]()
Ungejibu swali ingekuwa vyema zaidi. Park hio inaitwaje?Dah nilidhani wanakusingizia![]()
Hahaha. Nyie ligi yenu Accra wachana na sisi. 😀😁Yo Kenyans stop mentioning Africa's big names, tuendeleeni na battle yetu, nyi nyi (nairobians) legue yenu ni Dar tu and not otherwise.
Wacha kuotaa...unafikiri putin aliwaza kupigana na Ukraine pekeyake? Variables kama umoja wa ulaya, USA, na nato ni factor alizo ziconsider beforeWaukraina wamepokea weapons za kutosha. Russia ataendelea kunyoshwa mboko.
Ukiambiwa jina utasahau tena wewe 😂😂😂 we tafuta jina google uko ndio utakumbuka next timeUngejibu swali ingekuwa vyema zaidi. Park hio inaitwaje?
Accra legue yake labda Arusha na sina uhakika kama itatoboa 😂😂Hahaha. Nyie ligi yenu Accra wachana na sisi. 😀😁
Sio rafiki yako bali ni wewe Zezeta ulijibu hivyo sababu akili hujawai kuwa nazoMbona unasahau kukazia walihost World cup kitambo a decade agosisi bado tunademka kaka...inaumiza sana,My fren alipata mentorship kadhaa S.A eneo fulani Jo'burgy hotel inaitwa Montecasino,baada ya masomo wakiwa wanapiga story kuna mzungu mmoja akamuuliza umetokea nchi gani?Akamjibu Tz...yule mzungu akaamuuliza hii Tz ni moja ya nchi masikini eeh? Jamaa akajibu ndio
inauma sana nyie....imagine alishindwa hata kujitetea
Sio rafiki yako bali ni wewe Zezeta ulijibu hivyo sababu akili hujawai kuwa nazo

sawa Chongchung msemaji mkuu wa serikali

Hahaha. Yaani Durban ambayo ni mji wa tatu kwa ukubwa SA inatuhemesha hivi na Cape town je ambayo ni mji wa pili kwa ukubwa? Cape town itatufunika kabisa. Oya Sama boy 255 hebu mwaga picha za Cape town kidogo tuone mahali ambapo miji yetu itakuwa baada ya miaka kumi.Durban exhibition center 👇 hapa ni world class facilities tu.. wala hii sio US View attachment 2142189View attachment 2142194indoor Arena View attachment 2142198View attachment 2142207View attachment 2142224kwazulu stadia 👇View attachment 2142211View attachment 2142213View attachment 2142216View attachment 2142217Durban international airport 👇View attachment 2142218View attachment 2142219View attachment 2142220View attachment 2142223ndio Nairobi itie pua hapa 😂😂😂
Nkitu chaa ajabu kuwai kukionaYaani badala ya kujenga skyscraper huko kwenu Dar es Salaam ambako hakuna skyscraper, mnatumia kodi za serikali yenu kuja kujenga skyscraper huku Kenya? Maoni yenu ni gani Wabongo kuhusu hili jambo?
Geza Ulole ichoboy01 The best 007 Sama boy 255 itakuwa serikali yenu inafahamu vyema kwamba ikisimamisha skyscraper Nairobi itacollect rent ya kutosha lakini ikijenga Dar es Salaam itakosa wateja? Sijui huwa tunapiga battle kwa nini na serikali yenu inaonyesha fika kwamba Nairobi ndiko kuna biashara zaidi. Yaani serikali yenu inakataa kujenga skyscraper Dar inakuja kujenga Nairobi halafu wajinga bado wanalinganisha Nai vs Dar?
Cc NairobiWalker Kafrican Teargas dyfre


..na niserikali imeona hiii ndio kitukizuri kabisa na VP akaenda aiseeeeehYani nikiona hiii habari natamani kupasukaaYaani badala ya kujenga skyscraper huko kwenu Dar es Salaam ambako hakuna skyscraper, mnatumia kodi za serikali yenu kuja kujenga skyscraper huku Kenya? Maoni yenu ni gani Wabongo kuhusu hili jambo?
Geza Ulole ichoboy01 The best 007 Sama boy 255 itakuwa serikali yenu inafahamu vyema kwamba ikisimamisha skyscraper Nairobi itacollect rent ya kutosha lakini ikijenga Dar es Salaam itakosa wateja? Sijui huwa tunapiga battle kwa nini na serikali yenu inaonyesha fika kwamba Nairobi ndiko kuna biashara zaidi. Yaani serikali yenu inakataa kujenga skyscraper Dar inakuja kujenga Nairobi halafu wajinga bado wanalinganisha Nai vs Dar?
Cc NairobiWalker Kafrican Teargas dyfre
Tukus3ma tumepigwa watu wanapingaHizo sanctions hazichukui au hazidumu hata miezi sita!
Hahaha Pole utapona tu.Yani nikiona hiii habari natamani kupasukaa
Weee sio JPM lamda kivuli cha mzee JKMagufuli ajenge jengo refu Nairobi wkt hata Dar alizuia ujenzi wa majengo marefu yasiyo na tija! Hivi unajisikia unachosema kweli?
Unatumia data gani?N
Nairobi population haijafika 5.Ipo kwenye 3.5million
Hahaha. Yaani Durban ambayo ni mji wa tatu kwa ukubwa SA inatuhemesha hivi na Cape town je ambayo ni mji wa pili kwa ukubwa? Cape town itatufunika kabisa. Oya Sama boy 255 hebu mwaga picha za Cape town kidogo tuone mahali ambapo miji yetu itakuwa baada ya miaka kumi.


kinyonge sanaSababu ni plan chengaa...alikuw nayo JK, sasa bibi anamalizana nayo...yani nikichefuchefuWewe hujanielewa. Ndio maana nimesema ujenzi ulisitishwa. Point yangu ni kusema kwamba plan hii sio geni, hii plan imekuwa kuanzia zamani ila ilisitishwa wakati wa Magufuli.



Aawapii hata 4 mln people Nairobi haijafika!Nairobi ina population ya 5 million. Hapo tayari Nairobi imeshaipiga Durban.
Unatumia data gani?Aawapii hata 4 mln people Nairobi haijafika!
Only if it reflects realityWewe pia uheshimu gdp kama mimi ninavyoiheshimu. Wewe una mazoea ya kupuuza gdp na kusema kwamba gdp ya IMF ni ya kupuuzwa. Mbona mimi nimeona Durban ina gdp kubwa kushinda Nairobi na nimekubali mara moja?