ww Picha ya CBd dar inashindana na picha moja imekusanya westland, upperhill na CBd yenu 🤣🤣🤣🤣 hata hushangaialoo.. durban bado sana kwa nairobi
View attachment 2141691View attachment 2141692
vs the very best of dar
View attachment 2141693
nani anamiliki safaricom?? au hujui kuna investors hapo wanatengeneza pesa kama wendawazimu ndio maana hamuna hata ushindani kwenye telecommunication sector😂😂😂Daaadeki !!! 😲. Sikujua kwamba Safaricom has the second biggest market capitalisation in Africa. Market cap ya Safaricom ni kubwa kushinda kampuni zote Africa isipokuwa MTN? Wow, imeshinda hadi Dangote kwa market cap.
Watanzania hatupo ligi yenu, wacheni kulazimisha ligi na sisi. Tumewashinda kwa Mbali. Kampuni ya Kenya ni ya pili kwenye market capitalisation Afrika nzima halafu nyie Malazy mtaitisha ligi na sisi? Mtatuweza kweli? Private sector ya Kenya hususan service industry ya Kenya ni strong sana.
Cc Geza Ulole joto la jiwe The best 007 Sama boy 255 tuusan ichoboy01
na hio 25% most of them ni foreigners 🤣Meaning Kunyans r less than 50%!
Safaricom inamilikiwa na wakenya.nani anamiliki safaricom?? au hujui kuna investors hapo wanatengeneza pesa kama wendawazimu ndio maana hamuna hata ushindani kwenye telecommunication sector😂😂😂
Data zinaonesha Tanzania ina wanafunzi 400 Ukraine, wengine wako wapi?
Maria دوبوفيكوفا Dubovikova (@politblogme) Tweeted:
... 45 - of Jordan, 16 - of Pakistan, 15 - of Tunisia and 14 - of Zambia in Sumy.
Sorry. Majority of those 25% are local investors.na hio 25% most of them ni foreigners 🤣
mulidanganywa na mama ngina 😂😂😂😂
nani alikwambia hebu tizama hii vzr 😂👇
Nchi ya mikosi na uchuro 🤣🤣Kwani duniani kuna mji mzuri kama Nairobi?
Tuambie who owns Tanzania breweries - your largest company. Alafu utuambie who owns Vodacom, your second largest company.Meaning Kunyans r less than 50%!
Tuseme Itakuwa around 40%, 35% GoK na 5% Kunyans! BTW kuna 2 Tanzanian brothers wana significant shares!na hio 25% most of them ni foreigners 🤣
Huna hoja wewe, next time, funga bakuli na upite kimya kimyaMna wanafunzi wapi? Hahaha
German haijaweka vikwazo sababu kuna bomba la gesi kutoka Russia hadi Germany, Bomba hilo linachangia 40% ya matumizi ya gesi ya Germany, kwahivyo Germany haina budi ila kuwa mpole, Si kwasababu eti inaogopa majeshi ya Russia.... Kumbuka Germany ilitingisha dunia nzima waakati wa Hitler na kwa sasa uchumi wao ni mara tatu wa Russia.... Na isitoshe Germany iko ndani ya NATO kwahivyo hawaezi tishiwa hivi hivi na mtu yoyote. Kama ka nchi kama Poland kanasema kako tayari kupeana ndege zake za kivita zitumiwe na ukraine, Poland nchi ambayo haiko ata top 100 kijeshi, lakini vile wako chini ya NATO ndo inajua Russia hawezi tubuthu kuivamia labda awe ako tayari kutumia nuclearUsiichukulie Russia poa ni taifa lenye nguvu ya kijeshi,muulize German hata vikwazo yeye hajamwekea,nani azuie bidhaa zake ovyo ovyo.