Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tafauti ni kubwa mkuu.. kenya tuko na mrundiko wa taa kutoka machakos hadi lake victoria, hadi mt elgon.. kwa umbali sana kama vile za sa, yani conurbations ama agglomeration, jambo ambalo tz haliko
Ambayo ni kama 5% ya Kenya yote, Hko kwingine ni kama hawaishi watu
 

Benki ya Dunia👇

Screenshot_20220303-121310.png
 
you end up embarassing yourself and losing every argument coz of not being smart.....
Hapo ka post hivyo kujishaua kwamba eti SSH is doing wrong kwa Kukopa.

Wakati anasahau kwamba Samia ana mwaka mmja na mzigo wa madeni sio wa mwaka huu mmja bali mikopo ya nyuma na inayowahi kuiva hususani mikopo ya biashara iliyokopwa na Mwendazake..

So far mkopo pekee wa SSH ulikuwa disbursed ni WA covid 19,hakuna mwingine, mingine yote iliingiwa na Serikali iliyopita ila disbursement yange ilizuiwa au kucheleweshwa kutokana na sera mbovu za Mwendazake.
 
You do not have to have a humongous University to educate your population. You need numerous institutions. Kenya has way more universities than Tanzania.

BTW, the most reputable universities are normally moderate in size and student population.

Harvard = 19,218
MIT = 11,934
Cambridge = 24,450
Oxford University = 24,515
Stanford University = 17,246

I don't understand all this hullabaloo about UDOM size. A good University should maintain between 5000 = 25000 students and offer quality. A country should have numerous moderate size universities preferably specializing in different fields. Hapa Africa tunajaza wanafunzi over 40,000 kwa chuo kimoja kisa education system yetu haijadevelop vizuri na hatuna vyuo vya kutosha.
Umesahau Harvard na ivyo vyuo vilijengwa zamani sana.Unajenga kulingana na mahitaji ya sasa,sioni tatizo kua na chuo kikubwa kama Udom maana kuna vitengo na kila kitengo kinajitegemea.Hao wanafunzi 40k wamegawanywa na wanasoma kwa vitivo
 
Sasa mbona msemaji wa serikali anasema hawajalipia chochote kuhusiana na haya matangazo, yani watuposti mwezi mzima buree 🤔
Wewe mwenzetu unajua wamelipa nini? Tueleze.

Narudia tena kama umezaliwa na uchuro ni wewe,tunatembelea nyota ya Samia.Just be patient and stay tuned utamu zaidi unakuja.
 
Umesahau Harvard na ivyo vyuo vilijengwa zamani sana.Unajenga kulingana na mahitaji ya sasa,sioni tatizo kua na chuo kikubwa kama Udom maana kuna vitengo na kila kitengo kinajitegemea.Hao wanafunzi 40k wamegawanywa na wanasoma kwa vitivo
Sijasema kuna shida, nimesema ukubwa wa chuo sio bragging point. Quality ndio bragging point. Sasa kama akina Harvard wameanza kitambo na wana uwezo wa kuexpand yet wamemaintain small size to maintain quality, wewe unajitamba na UDOM yenye imeanza 2007 kwa ukubwa wa eneo na wanafunzi huoni kama kuna shida? Ndio maana nikasema African Universities are big and with bigger enrollment because our education system is underdeveloped sio kwa sababu tumeendelea.
 
Hapo ka post hivyo kujishaua kwamba eti SSH is doing wrong kwa Kukopa.

Wakati anasahau kwamba Samia ana mwaka mmja na mzigo wa madeni sio wa mwaka huu mmja bali mikopo ya nyuma na inayowahi kuiva hususani mikopo ya biashara iliyokopwa na Mwendazake..

So far mkopo pekee wa SSH ulikuwa disbursed ni WA covid 19,hakuna mwingine, mingine yote iliingiwa na Serikali iliyopita ila disbursement yange ilizuiwa au kucheleweshwa kutokana na sera mbovu za Mwendazake.
So hao waliokuwa wanatupa mikopo pia walikuwa wanamuogopa Magu mana hawakusema kipindi cha Magu ila wanasema kipindi hiki mana hawamuogopi Samia au co. Acheni upumbavu, Magu hakuwa anakopa kopa hovyo alikuwa anapambana humu humu nchini na ndiyo maana wajinga kama nyie hamumpendi mana aliwabana njia zenu zote za kupiga na hakuwa anatoka toka nje kama Mama yenu, so unataka kutuambia walikuwa wanamfuata wenyewe ili kumkopesha?
 
Wapi asilimia umepata? Tanalec ilikuwa ya serikali, na uwekezaji kidogo kutoka Norway. Norway ndio wakauzia wenzao WA Kenya hisa chache.. Nyingine Waka chukua wahindi. Sasa Hao wakenya wanaomiliki Tanalec ni kina nani
You don't know anything about your country.


Screenshot_20220304-100853_1.jpg
 
Back
Top Bottom