Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi



Kuna kitu kimojaa tumejifunza kama bara la africa na dunia kwa ujumla kwenye huu mzozo wa urusi na ukrain waafrika tunafaa tuwape viongozi wetu wa AU meno wawe na mamalaka kuzidi maraisi wa nchi zetu na tuwe na usemi mmoja la sivyo hatutawahi kutoboa mbele ya hawa mabepari ata miaka milioni
 
Naona taa nyingi SA na misri,sioni tofauti yyte kati ya Kenya na Tz na kama ipo ni ndogo tu
tafauti ni kubwa mkuu.. kenya tuko na mrundiko wa taa kutoka machakos hadi lake victoria, hadi mt elgon.. kwa umbali sana kama vile za sa, yani conurbations ama agglomeration, jambo ambalo tz haliko
 
yani jiwe la moto.... mi nataka tu Watts za stima kwa ujumla, sio ubeat around the bush.. umeskia dogo
Sasa Kama tumeamua kuachana na matumizi ya umeme kwenye viwanda ambako ndiko kwenye matumizi makubwa ya umeme, badala yake tunatumia "Natural gas na coal, vipi unataka tujilinganishe na ninyi ambao hamna "alternative means?", you depend entirely on electricity, we are not like you
 
tafauti ni kubwa mkuu.. kenya tuko na mrundiko wa taa kutoka machakos hadi lake victoria, hadi mt elgon.. kwa umbali sana kama vile za sa, yani conurbations ama agglomeration, jambo ambalo tz haliko
Sisi town zetu ziko mbalimbali ukiangalia unaona izo taa ziko scattered lakin zipo
 
Sasa Kama tumeamua kuachana na matumizi ya umeme kwenye viwanda ambako ndiko kwenye matumizi makubwa ya umeme, badala yake tunatumia "Natural gas na coal, vipi unataka tujilinganishe na ninyi ambao hamna "alternative means?", you depend entirely on electricity, we are not like you
mfano, tea factories za kericho wanatumia kuni ya miti waliopanda wenyewe.. lakini fossil fuels ndo inatumika ata zaidi
 
zwazwa anasema nairobi city ni kubwa kuliko dar 😂😂😂😂😂

na hili pia tupige ramli 😂😂👇👇 na ndani ya 696km sq za nairobi kuna national park ambayo inachukua area almost a half

36CD47E2-228D-4757-BEA5-D01B23346C2D.jpeg
902F4D23-B321-481A-A47B-FE37715A9011.jpeg
 
mfano, tea factories za kericho wanatumia kuni ya miti waliopanda wenyewe.. lakini fossil fuels ndo inatumika ata zaidi
Sababu Moja kubwa kwanini Tanzania tumenyakua masoko ya Uganda, Rwanda, DRC na Somalia kutoka kwa Kenya, ni kwasababu bidhaa za viwanda vya Kenya ni ghali Sana ukilinganisha na TZ.

Sababu kubwa ya bidhaa za Kenya kuwa ghali ni Bei ya umeme, 99% ya viwanda vya Kenya Hutumia umeme wakati Tanzania 59% ya viwanda vinatumia gas ambayo ni" cheaper" kuliko umeme
 
Sababu Moja kubwa kwanini Tanzania tumenyakua masoko ya Uganda, Rwanda, DRC na Somalia kutoka kwa Kenya, ni kwasababu bidhaa za viwanda vya Kenya ni ghali Sana ukilinganisha na TZ.

Sababu kubwa ya bidhaa za Kenya kuwa ghali ni Bei ya umeme, 99% ya viwanda vya Kenya Hutumia umeme wakati Tanzania 59% ya viwanda vinatumia gas ambayo ni" cheaper" kuliko umeme
Nyinyi mnauza tu mahindi huko Uganda and Rwanda. Mambo ya manufacturing iliwapiga chenga na sioni kama Tz will sort it out any time soon.
 
Back
Top Bottom