Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Nyie Wapenzi wa Putin kubalini kushindwa.
Nyie Wapenzi wa Putin kubalini kushindwa.
Haya jumlisha na ksh 100bn ili upate hizo ksh 125bn.Kengen in 6 months nilisema ni ksh 24 billion sio ksh 42 billion. Kwa mwaka Kengen inatengeneza revenue ya ksh 48 billion.
aliyekudanganya kuwa vita vinapuuziwa ni nani?Kulingana na intelligence ya Marekani Putin aliipuzilia mbali Ukraine na alipanga kuiangusha chini ya siku tatu. Hio ndio maana aliattack kutoka directions tatu, kaskazini, kusini na mashariki. Lakini hizo axis zote zimekwama hakuna hata moja ambayo imeweza kuingia ndani ya Ukraine kwa sana. Sasa Putin ameamua kutupa missiles na makombora kwa hizo cities ili kuuwa civilians kwa maana ya kuwatoa hari ya kupigana. Anataka kuwatishia waache kupigana. Anarusha makombora kwenye nyumba za watu na kuuwa raia. Lakini raia wa Ukraine bado wana hamu ya kupigana na kuiokoa nchi yao.
Nimeshasema nilikosea hesabu kidogo. Nilidhani hio ksh 24 billion ya Kengen ni ya mwaka mmoja ila ni ya miezi sita tu.Haya jumlisha na ksh 100bn ili upate hizo ksh 125bn.
Heheheheee mbn unaandika unafuta, au maji ya shingoTrue. Kwanza hata nilikosea. Hio ksh 24 billion ya Kengen ni ya 6 months tu. Ukiweka ya full year inakuwa ksh 100 billion ya Kenya power na ksh 48 billion ya Kengen =ksh 148 billion na bado hatujaweka revenue ya Ketraco.





washajichanganya haoYaani Wakunya wanasema wametuzidi kwenye umeme wakati Bill yao ya mwaka ni ya miezi mi3 kwa Tanzania, kweli Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu



Wewe tazama runinga utaona intelligence ya Marekani inasema nini. Hayo sio maoni yangu.
Yani nyie kupitwa huwa hampendi kabisa, mpo tayari hata kuongopa ili mradi tu mjifurahishe nafsi zenu, cc watz hatupo hivyo na ndiyo maana unakuta ukiongopa tu mtz mwenzio anakuja kukupinga kwa facts lkn nyie hamko hivyo, cjui kwnn mnapenda sifa za kijinga hivi. Ni mkenya mmoja tu ndiyo huwa anawachana kwa kuwapa ukweli mwaswast mpk huwa mnamchukia.Nimeshasema nilikosea hesabu kidogo. Nilidhani hio ksh 24 billion ya Kengen ni ya mwaka mmoja ila ni ya miezi sita tu.
ndiyo maana nakuambia uache propaganda na uache kumezeshwa matango pori,Wewe tazama runinga utaona intelligence ya Marekani inasema nini. Hayo sio maoni yangu.












Huyo ni fara toka lini mzenji akawa na akili yeye anasifiaga upumbavu wa samia sasa yameanza kumkuta ,mama anakopa Til1.47 kwa mwezi for nothing special,ni mpumbavuu sana huyu bibi![]()
Benki ya Dunia: Tanzania hatarini kukumbwa na "stress za madeni"
Tathmnini ya ufuatiliaji wa deni la Tanzania uliofanywa na WB unasema Tanzania iko kwenye hatari ya kukumbwa na debt stress ya kiwango cha moderate. Hii ni alarm kwa serikali kupunguza Kukopa lakini pia tujiandae kwa Kodi zaidi maana miradi lazima iishe iwe kwa mikopo au kwa Kodi za ndani ...www.jamiiforums.com
![]()
you end up embarassing yourself and losing every argument coz of not being smart.....![]()
Benki ya Dunia: Tanzania hatarini kukumbwa na "stress za madeni"
Tathmnini ya ufuatiliaji wa deni la Tanzania uliofanywa na WB unasema Tanzania iko kwenye hatari ya kukumbwa na debt stress ya kiwango cha moderate. Hii ni alarm kwa serikali kupunguza Kukopa lakini pia tujiandae kwa Kodi zaidi maana miradi lazima iishe iwe kwa mikopo au kwa Kodi za ndani ...www.jamiiforums.com
![]()
What is profit!!?Unazungumza kuhusu net profit au revenue ya Kenya power?
Hahaha wacha bangi. Net profit na gross profit ni accounting terms na zinatumika na accountants wakati wanatengeneza balance sheets. Hujui unachosema wewe. Balance sheet ya makampuni mengi ina terminology hio ya gross au total profit na net profit. Ila banks zinatumia terminology tofauti.What is profit!!?
In corporate world, we don't have the term profit. You know why?? Bcoz it's ambiguous. It depends upon the policy of the company.
Pia huyo chongchung anaongelea earning au revenue.
Mwambie alete source inayosema kenya power inakusanya revenue 100 billion kenya money.. na atueleze kengen inakusanya revenue kwenye upande upi, na hiyo kenya power nayo inakusanya revenue kwenye upande upi pia, usije ikawa wanatulisha matango hawa jamaaYani nyie kupitwa huwa hampendi kabisa, mpo tayari hata kuongopa ili mradi tu mjifurahishe nafsi zenu, cc watz hatupo hivyo na ndiyo maana unakuta ukiongopa tu mtz mwenzio anakuja kukupinga kwa facts lkn nyie hamko hivyo, cjui kwnn mnapenda sifa za kijinga hivi. Ni mkenya mmoja tu ndiyo huwa anawachana kwa kuwapa ukweli mwaswast mpk huwa mnamchukia.
Pia na wewe Tony kdg unajitambua lkn wengine waliobaki wote ni wapumbavu sn.
Sasa piga hesabu hiyo hapo juu halafu ujijibu mwenyeweEdit: mwaka jana Tanesco imeingiza 1.8 trillion
Wakati Kenya kwa miezi 6 imeingiza billion 430