Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijasema kuna shida, nimesema ukubwa wa chuo sio bragging point. Quality ndio bragging point. Sasa kama akina Harvard wameanza kitambo na wana uwezo wa kuexpand yet wamemaintain small size to maintain quality, wewe unajitamba na UDOM yenye imeanza 2007 kwa ukubwa wa eneo na wanafunzi huoni kama kuna shida? Ndio maana nikasema African Universities are big and with bigger enrollment because our education system is underdeveloped sio kwa sababu tumeendelea.
Quality inategemeana na budget pia,sasa wakufunzi Wa Harvard watakua wanalipwa hela nzuri vifaa vyote wanavyo alafu pia anasema mimi nahitaji idadi fulani wa wanafunzi ambao ndio naweza wapika vizuri..anasikilizwa.

Uku kwetu wanafunzi unaletewa kulingana na sera ambazo hazireflect ualisia,mishahara kiduchu na vifaa kiduchu pia...wanafunzi wengine hata uwezo mdogo sasa ufanyeje
 
Jumba bovu lazima limuangukie aliyelijenga.
Si mlikuwa mnasema awamu iliyopita iliharibu uhusiano na mabeberu, so wangeikopeshaje wkt ilikuwa Haina uhusiano mzr nao? Na c wewe ulikuwa unasema tunahitaji kukopa zaidi na ukawa unaponda hapa kwamba hatupaswi kutumia pesa za ndani kufanya miradi ya kimkakati au co wewe? Leo mamaako kakopa kuliko maraisi wote ndani ya muda mfupi usiozidi mwaka umegeuka unaanza kuishushia lawama serikali ambayo ulikuwa unaponda kwnn inatumia pesa za ndani kufanya miradi mikubwa, wkt mwingine muwe mnaona aibu nyie wahuni kina N.a.p.e.
 
Iyo report mpya ya idadi ya $ millionaires mbona tofauti ya ke na tz ni ndogo kiasi kile? 3.3k kwa 2.5k ? Vp majirani mnafilisika kwa speed ya light
 
Iyo report mpya ya idadi ya $ millionaires mbona tofauti ya ke na tz ni ndogo kiasi kile? 3.3k kwa 2.5k ? Vp majirani mnafilisika kwa speed ya light
Wachana na hiyo. Kilichonishangaza ni kuwa ripoti hio inakinzana na ile ripoti uchwara ya joto la jiwe ambalo linasema kuwa Tanzania ina dola millionaires wengi kushinda Kenya.
 
Wachana na hiyo. Kilichonishangaza ni kuwa ripoti hio inakinzana na ile ripoti uchwara ya joto la jiwe ambalo linasema kuwa Tanzania ina dola millionaires wengi kushinda Kenya.
Ile haikuwa report ya joto la jiwe, ilikuwa report ya knight frank na hawajatoa mpya mpk Leo, na hata ikitoka tegemea Tz kuwa juu yenu kwa gape kubwa mana nyie mlifunga nchi so hata wanasiasa ambao ndio mamilionea huko kwenu hawakuingiza pesa.
 
Quality inategemeana na budget pia,sasa wakufunzi Wa Harvard watakua wanalipwa hela nzuri vifaa vyote wanavyo alafu pia anasema mimi nahitaji idadi fulani wa wanafunzi ambao ndio naweza wapika vizuri..anasikilizwa.

Uku kwetu wanafunzi unaletewa kulingana na sera ambazo hazireflect ualisia,mishahara kiduchu na vifaa kiduchu pia...wanafunzi wengine hata uwezo mdogo sasa ufanyeje
Exactly. The reasons the university is being built big is poverty and. Underdevelopment - not something to brag about. Tanzania cannot afford a low student to professor ratio, that's why universities have to be big such that a single professor handles thousands of students.
 
Exactly. The reasons the university is being built big is poverty and. Underdevelopment - not something to brag about. Tanzania cannot afford a low student to professor ratio, that's why universities have to be big such that a single professor handles thousands of students.
Kwani Kenya mnahali nzuri sana kwenye iyo area ya proff per student ratio?
 
Kwani Kenya mnahali nzuri sana kwenye iyo area ya proff per student ratio?
Hatuko Hali nzuri. Bado vyuo vyetu viko overenralled lakini mjadala ulianza hapo wabongo wenzako walikuwa wakijipiga kifua over ukubwa wa UDOM. Ndio nawaeleza we are actually looking towards making our institutions moderate in size. Hata hapa Africa the best institution ni University of Cape Town - student population ni 27k pekee.
 
Si mlikuwa mnasema awamu iliyopita iliharibu uhusiano na mabeberu, so wangeikopeshaje wkt ilikuwa Haina uhusiano mzr nao? Na c wewe ulikuwa unasema tunahitaji kukopa zaidi na ukawa unaponda hapa kwamba hatupaswi kutumia pesa za ndani kufanya miradi ya kimkakati au co wewe? Leo mamaako kakopa kuliko maraisi wote ndani ya muda mfupi usiozidi mwaka umegeuka unaanza kuishushia lawama serikali ambayo ulikuwa unaponda kwnn inatumia pesa za ndani kufanya miradi mikubwa, wkt mwingine muwe mnaona aibu nyie wahuni kina N.a.p.e.
Ilikopa pesa nyingi kwenye mabenki ya biashara kama credit suisse na Exim bank.
 
So hao waliokuwa wanatupa mikopo pia walikuwa wanamuogopa Magu mana hawakusema kipindi cha Magu ila wanasema kipindi hiki mana hawamuogopi Samia au co. Acheni upumbavu, Magu hakuwa anakopa kopa hovyo alikuwa anapambana humu humu nchini na ndiyo maana wajinga kama nyie hamumpendi mana aliwabana njia zenu zote za kupiga na hakuwa anatoka toka nje kama Mama yenu, so unataka kutuambia walikuwa wanamfuata wenyewe ili kumkopesha?
Unaelewa maana ya debt distress? Au unakurupuka tuu kuandika upupu? Mara ngapi Rais amewahi lisemea hili la debt distress?

Unajua kinachosababisha hiyo debt distress? Soma vizuri hiyo article ya WB..
 
Sijasema kuna shida, nimesema ukubwa wa chuo sio bragging point. Quality ndio bragging point. Sasa kama akina Harvard wameanza kitambo na wana uwezo wa kuexpand yet wamemaintain small size to maintain quality, wewe unajitamba na UDOM yenye imeanza 2007 kwa ukubwa wa eneo na wanafunzi huoni kama kuna shida? Ndio maana nikasema African Universities are big and with bigger enrollment because our education system is underdeveloped sio kwa sababu tumeendelea.
Unafananisha vipi Havard,Oxford na universities za kawaida? Hizo elite schools lazima ziwe na fewer students, jaribu kuangalia universities za kawaida USA au UK zina wanafunzi wanganpi ndio utajua hata Udom ina idadi ya kawaida sana ya wanafunzi. Btw Udom ina uwezo wa up to 40k students lakini sidhani kama wameweza kufika hata nusu ya uwezo wake.
 
Mnakumbuka zile kejeli zao baada ya ile meli kubwa iliyoleta magari kutia nanga bandari ya Dar Es Salaam!

Kwamba wao huwa wananunua mapya zero km.


Ukiwasikiliza hawa watu utafikiri ni watu fulani wako level za akina Switzerland,Germany etc kumbe ni watu wa dunia ya tatu ambao mpaka kesho wanasumbuliwa na njaa,magonjwa na malazi kama nchi nyingine tu za Afrika.
 
Let’s break down this photograph, shall we?
View attachment 2138033

First, we need to understand that that the “earth at night” map is an excellent way to show urban sprawl. Nairobi’s sprawl looks bigger because it’s not just Nairobi we’re looking at. It’s the greater Nairobi metropolitan area, which has 20% of Kenya’s population and contributes 60% to the nation’s GDP.
View attachment 2138029

Dar’s sprawl, however, looks like it covers almost the entirety of the Dar es salaam region, the smallest of all in mainland Tanzania. It also extends a bit farther north towards Bagamoyo, west towards Kibaha. The population of that region is roughly 7 million, which is about 12% of Tanzania’s population.


So, the area surrounding Nairobi has a lot more people than the area surrounding Dar. Therefore, why would anyone compare the night maps of Dar and Nairobi? The two cities are certainly not the same. Please end this stupidity. Don’t compare a metropolitan area to a city. That’s just ludicrous!
Bro, according to the 2019 Census report The Western Block of Kenya had the biggest population density in Kenya.
The Nairobi Metropolitan is big but doesn't account to 20% of Kenya's population and neither does Nairobi account to 60% of Kenya's economy.
Kenya has a GDP of 110 Billion & Nairobi only claims 47 billion out of that.
Screenshot_20220304-095541.jpg
GridArt_20220304_100357369.jpg
images%20-%202022-03-04T100852.761.jpg
 
Ile haikuwa report ya joto la jiwe, ilikuwa report ya knight frank na hawajatoa mpya mpk Leo, na hata ikitoka tegemea Tz kuwa juu yenu kwa gape kubwa mana nyie mlifunga nchi so hata wanasiasa ambao ndio mamilionea huko kwenu hawakuingiza pesa.
Hehehe ripoti mpya ya Knight Frank ulitoka 3rd March, 2022. Kenya 3,600 dollar millionaires while Tz only have 2,500.

Screenshot_20220304-002736.jpg
 
Back
Top Bottom