Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe Tony254, wacha kulinganisha Barbara inayounganisha mikoa miwili na barabara ya ndani ya Jiji, angalia urefu wa hiyo ya Uganda ni mara mbili ya hiyo ya Kenya.

Jambo Moja ambalo linanishangaza Sana ni kwamba, ninyi wakenya mnalinganisha Private sector vs Government projects, hiyo ya Uganda ni serikali ndiyo imejenga, wakati hiyo yenu serikali haijatoa hata cent Moja.

Hii tabia ya kulinganisha Private sector vs Government ni dalili kwamba nchi yenu haina uongozi Bora, hata tunapilinganisha Hospitals za Tanzania vs Kenya, sisi tulitaja Muhimbili, ninyi mnataja Nairobi, AghaKhan, au MPshakh Hospitals
They have a lame government that can't do anything on its own all they know is misappropriation of government funds among the rulling bandits.
 
Fanya research utafute ILO UN Africa office iko wapi halafu urudi hapa na uache kujificha huko kibera.
Screen Shot 2022-03-03 at 08.56.55.png
 
Kuna zaidi ya wanafunzi wa kitanzania 1000 wanasoma Ukraine na Russia and most of them are taking aerospace Engineering

Wakunya kwa akili zao finyu lack of exposure and primitivism walifikiri aside from Tanzania the best destination kwa wanafunzi wa kitanzania ni kunyaland

Wakiambiwa Watanzania wana mawe wananuna, ni mkenya yupi wa kawaida tofauti na mwana siasa anaweza kusomesha watoto wa3 Russia courses za aerospace?




Katika watu ambao wanawapatia wakunya ukitoa alhaji joto la jiwe na mwenyekiti ichoboy01 basi anayefuatia ni chongchung a.k.a AK 47 (Avtomat Kalashnikov, a gas operated assault rifle)
 
propaganda za western ndio zinawalisha matango pori wakat miji karibu yote imeshachukuliwa, military infastructure zaidi ya 200 za ukraine zimeharibiwa, tv station tower imepigwa , nuclear plant mbili zimeshachukuliwa

swali rahisi kwann anaomba msaada eu wa jeshi ikiwa anawapiga ??? mama ngina atakupa jibu
Hawana akili hawa nyang'au achana nao

Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
 
Kuna Dogo nilimuwekea photo hizo mbili hakujua ni za wapi namwambia wapi pazuri akaniambia hiyo ya pili, Daslamu nzuri...
Modern Airport
Modern BRT
Modern Football grounds
Best Sports Decorder n Studios
Best and Modern buildings
Best Sea bridges
Modern marine Transports
Modern Sgr railway n trains station
Biggest Food n drink products manufacturer in east africa etc
JamiiForums-12197721.jpg
JamiiForums1263634393.jpg
 
Back
Top Bottom