Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna Dogo nilimuwekea photo hizo mbili hakujua ni za wapi namwambia wapi pazuri akaniambia hiyo ya pili[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], Daslamu nzuri...
Modern Airport
Modern BRT
Modern Football grounds
Best Sports Decorder n Studios
Best and Modern buildings
Best Sea bridges
Modern marine Transports
Modern Sgr railway n trains station
Biggest Food n drink products manufacturer in east africa etc[emoji1]View attachment 2137121View attachment 2137123

Wakenya ni ushamba tu, ona sasa walivyoharibu mji wao? Lakini nadhani ujenzi wa barabara namna hii unaharibu shape ya mji na mazingira, hizi elevated roads ni bora zibakie kwenye interchanges au huko outskirts, mjini boresha public transport kwa kuweka BRT au Trams, nadhani hii ndio njia sahihi.
 
Wakenya ni ushamba tu, ona sasa walivyoharibu mji wao? Lakini nadhani ujenzi wa barabara namna hii unaharibu shape ya mji na mazingira, hizi elevated roads ni bora zibakie kwenye interchanges au huko outskirts, mjini boresha public transport kwa kuweka BRT au Trams, nadhani hii ndio njia sahihi.
kuna mjii iko na shape Tanzania? waswahili wanajuwa ata shape ni Nini ama nyinyi mnajenga tu Bora kitu imesimama😁
 
Kuna zaidi ya wanafunzi wa kitanzania 1000 wanasoma Ukraine na Russia and most of them are taking aerospace Engineering

Wakunya kwa akili zao finyu lack of exposure and primitivism walifikiri aside from Tanzania the best destination kwa wanafunzi wa kitanzania ni kunyaland 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Wakiambiwa Watanzania wana mawe wananuna, ni mkenya yupi wa kawaida tofauti na mwana siasa anaweza kusomesha watoto wa3 Russia courses za aerospace?





Wewe akili yako inakaa Chongchung tu,sasa btwn Kenya and Tanzania ni nchi gani iko na wasomi wengi abroad?
 
Katika watu ambao wanawapatia wakunya ukitoa alhaji joto la jiwe na mwenyekiti ichoboy01 basi anayefuatia ni chongchung a.k.a AK 47 (Avtomat Kalashnikov, a gas operated assault rifle)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Am humbled 🙏🤣
 
Wakenya ni ushamba tu, ona sasa walivyoharibu mji wao? Lakini nadhani ujenzi wa barabara namna hii unaharibu shape ya mji na mazingira, hizi elevated roads ni bora zibakie kwenye interchanges au huko outskirts, mjini boresha public transport kwa kuweka BRT au Trams, nadhani hii ndio njia sahihi.
mwisho wa siku baada ya muaka mingi mbele wanaishia kuangaika kutafuta space za kuboresha road wakati washamaliza maeneo pasipo na mahitaji

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Hii picha ukiambiwa imepigwa Atlanta USA utakaa kweli?
MKO-JW-b-101.jpg
 
Kuna Dogo nilimuwekea photo hizo mbili hakujua ni za wapi namwambia wapi pazuri akaniambia hiyo ya pili[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], Daslamu nzuri...
Modern Airport
Modern BRT
Modern Football grounds
Best Sports Decorder n Studios
Best and Modern buildings
Best Sea bridges
Modern marine Transports
Modern Sgr railway n trains station
Biggest Food n drink products manufacturer in east africa etc[emoji1]View attachment 2137121View attachment 2137123
umejiuliza mbona hao jirani zenu wote,wanaitambua Nai kuliko Darislum,Zimbabwe juzi karibu wajitoe kitanzi sababu ya express way yetu lakini si mko na BRT😂😜
Baba levo,Samia alisema London ya EastAfrica👌
 
Back
Top Bottom