Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

anyway we have to accept how you are and how you reason 😄😄😄

View attachment 2136600
Considering tunakumbushwa huku kila siku kwa Dar ni kubwa mara tatu zaidi ya Nairobi...
Ka Nairobi eneo kubwa ni pori.

Screenshot_20220303-133106.png
 
Fanya research utafute ILO UN Africa office iko wapi halafu urudi hapa na uache kujificha huko kibera.
First, ILO office is not a UN office.

Secondly, ILO has many such regional offices across Africa. Besides the one in Dar, others are in Kinshasa, Abuja, Addis Baba, Algiers, Antananarivo, Harare, Cairo, Dakar, Pretoria, Yaounde and Lusaka. There's NOTHING like ILO UN Africa office.

Lastly, when I said Nairobi is the only UN office in Africa I meant it. The United Nations has only FOUR known headquarter duty stations worldwide and these are the UN offices in New York, the UN offices in Geneva, the UN offices in Vienna and the UN offices in Nairobi.

Kama unajua zingine zaidi ya hizo nne zitaje hapa
 
Wakenya ni ushamba tu, ona sasa walivyoharibu mji wao? Lakini nadhani ujenzi wa barabara namna hii unaharibu shape ya mji na mazingira, hizi elevated roads ni bora zibakie kwenye interchanges au huko outskirts, mjini boresha public transport kwa kuweka BRT au Trams, nadhani hii ndio njia sahihi.
Aisee haya mawazo kama mm sema nilikuwa sijui jinsi ya kuongea, kiukweli hizi barabara kama hii ya Nairobi inaharibu muonekano wa mji, naongea hivi kutoka moyoni kabisa na najua wakenya wanaelewa kwamba muonekano wa Jiji umeharibiwa na hii road, at least eneo kubwa lingekuwa na majengo marefu marefu km miji ya kichina lkn eneo lisilo na majengo km hapo Nairobi alafu uweke road km hyo ni kuharbu muonekano wa mji.
 
Hapo si wangejenga cable stayed bridge ingepunguza idadi ya nguzo nakuacha space kubwa kwa boats kupita na kupendezesha hiyo bridge
Hio bridge imejengwa hivyo kwa ajili ya airport iliyo hapo karibu. Imejengwa hivyo low ili ndege ziweze kutua au kupaa bila tatizo. Moi airport, the second bussiest airport in Kenya ipo karibu na hio bridge.
 
First, ILO office is not a UN office.

Secondly, ILO has many such regional offices across Africa. Besides the one in Dar, others are in Kinshasa, Abuja, Addis Baba, Algiers, Antananarivo, Harare, Cairo, Dakar, Pretoria, Yaounde and Lusaka. There's NOTHING like ILO UN Africa office.

Lastly, when I said Nairobi is the only UN office in Africa I meant it. The United Nations has only FOUR known headquarter duty stations worldwide and these are the UN offices in New York, the UN offices in Geneva, the UN offices in Vienna and the UN offices in Nairobi.

Kama unajua zingine zaidi ya hizo nne zitaje hapa
Ambia huyu Mr Wivu coodip1 kwamba UNEP Nairobi is the only UN headquarters located south of the equator.
 
Back
Top Bottom