Mumepigwa kwenye cities na kwenye apartments sasa mumekimbilia kwenye nyumba za polisi? Next utaitisha nyumba za kuku tufananishe kati ya Kenya na Tanzania?haya ni magorofa ya makazi polisi dar hebu naomba nioneshwe makzi ya polisi nairobi 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇😂 Tony254 njoo umsaidie zwazwa wenu
View attachment 2136208
[emoji817][emoji23][emoji23]kwani hujuhi Kenya ndio imeshikilia uchumi wa Tanzania [emoji28] from Banks to companies
unawazimu wa kichwa wewe 🤣🤣🤣🤣 polisi wenu wanaishi kwenye makazi gani zaidi ya slums hebu leo jenga hoja kama kweli wewe ni jogoo anapanda mtumgiMumepigwa kwenye cities na kwenye apartments sasa mumekimbilia kwenye nyumba za polisi? Next utaitisha nyumba za kuku tufananishe kati ya Kenya na Tanzania?
Hio 8 lanes hawahesabu service lanes. Sijui kama unaelewa service lanes inamaanisha nini? Thika road ina 8 lanes ila ina service lanes kando kando upande zote. Angalia picha za Thika road utaona service lanes ninazozungumzia. Ukihesabu service lanes basi Thika road inakuwa na 10 lanes au hata kuna maeneo ina 12 lanes. Hizo picha zimemwagwa huku sana na unaweza kuhesabu mwenyewe.So waliojenga wanaongopa wanaposema Thika ni 8lanes? Ila wewe ndiyo unajua kuliko waliojenga?
na service line hzo ni kwa jilinya kutoa na kuongiza gari kwenye barabara kuu sas lanes hua zinavesabika kwenye barabara kuu 😂😂😂😂😂 mfundisheni huyo zwazwa kwanza ajue thika ni 8 lanes na haitabadilika kua hvo na waliojenga wanasema ni 8 lanes sasa waliojenga na zwazwa nani mwenye akiliHio 8 lanes hawahesabu service lanes. Sijui kama unaelewa service lanes inamaanisha nini? Thika road ina 8 lanes ila ina service lanes kando kando upande zote. Angalia picha za Thika road utaona service lanes ninazozungumzia. Ukihesabu service lanes basi Thika road inakuwa na 10 lanes au hata kuna maeneo ina 12 lanes. Hizo picha zimemwagwa huku sana na unaweza kuhesabu mwenyewe.
hzo propaganda za kina nani hebu tazama propaganda zinazofanywa na hwa watu wanaedit picha na videos wakisema ni za vita na sio kweli 👇👇👇👇👇👇ichoboy01 naona Putin kipenzi chako anapigwa kama mburukenge. Ona jinsi tanks za Putin zinavyolipuliwa na jeshi la Ukraine.
View attachment 2136231
Hawa wazungu wacha wauane wapumbavu hawa, huwa wamezoea ku report habari mby km hizi toka Africa but now nchi nyingi za ki Africa zinapambana kwenye maendeleo wao wameanza kupambana kwenye vita, wacha wauane na Africa haitodhulika na chochote.ichoboy01 naona Putin kipenzi chako anapigwa kama mburukenge. Ona jinsi tanks za Putin zinavyolipuliwa na jeshi la Ukraine.
View attachment 2136231
propaganda za western ndio zinawalisha matango pori wakat miji karibu yote imeshachukuliwa, military infastructure zaidi ya 200 za ukraine zimeharibiwa, tv station tower imepigwa , nuclear plant mbili zimeshachukuliwaichoboy01 naona Putin kipenzi chako anapigwa kama mburukenge. Ona jinsi tanks za Putin zinavyolipuliwa na jeshi la Ukraine.
View attachment 2136231
Kwa hivyo ni sawa kusema Tanzanite bridge suo ya watanzania ila ni ya wakorea walioijenga ?? 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 Sometimes i pity these slowpokes 🤣🤣🤣kwani ile ni yenu au ya machina ??😂😂😂 kwann mchina aichukue kwa miaka 30 kwann hamutapita bila malipo kwenda kwa mchina
hvi kenya mulimkosea wapi Mungu 🤣🤣
Si useme tu ulimaanisha 2009 badala ya kuendelea ku prove nonesense? Ulisema ilijengwa 2019 not once but mara mbili. we understand errors happen ila kubali kuwa corrected, for once learn that in the very least.🤣🤣🤣👇👇👇👇👇shida yetu ni kusema ukweliView attachment 2135976
na kauli ya mwisho URUSI imesema kuwa inamalizana na sehemu muhimu za kiusalama kisha ndiyo itaingia kudeal na utawala wa nchipropaganda za western ndio zinawalisha matango pori wakat miji karibu yote imeshachukuliwa, military infastructure zaidi ya 200 za ukraine zimeharibiwa, tv station tower imepigwa , nuclear plant mbili zimeshachukuliwa
swali rahisi kwann anaomba msaada eu wa jeshi ikiwa anawapiga ??? mama ngina atakupa jibu
Those apartments are built and sold off to the locals.......Its a win winGreat wall ( Chinese Investment in Nairobi) , Wachina wanawatoa kimasomaso hawa wakulungwa.
hii dege iko si ni ki estate imestall ya kawaida....or by tz standards this is a new city 🤣🤣hii ndio tatu city 🤣🤣🤣🤣🤣 zwazwa anafananisha na dege eco
View attachment 2136201
dege eco kigamboni👇👇👇
View attachment 2136202
Mbona Putin ambaye alidhani atachukua Kiev ndani ya siku mbili ameshindwa kufanya hivyo?propaganda za western ndio zinawalisha matango pori wakat miji karibu yote imeshachukuliwa, military infastructure zaidi ya 200 za ukraine zimeharibiwa, tv station tower imepigwa , nuclear plant mbili zimeshachukuliwa
swali rahisi kwann anaomba msaada eu wa jeshi ikiwa anawapiga ??? mama ngina atakupa jibu