Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatu City Godowns

fFk5l9Eh.jpg


Tatu City Industrial Park

LuXpxyRh.jpg


Tatu City Mansions

182196982_4035519799847068_5279410635656975810_n.jpg
Hii mali binafsi ya Mzungu inaisha lini? Mzungu anawadanganya anajenga city kumbe apartments na godown kwaajili ya wazungu wenzie
 
Mbona Putin ambaye alidhani atachukua Kiev ndani ya siku mbili ameshindwa kufanya hivyo?
una uhakika kuwa alikuwa anafikiria hivyo?

vita siyo mchezo wa kula githeri nakuanza kuharisha baada ya tumbo kuvurugika,vita ni process pia vita ni betting mzee vita ni Risk ,

UKRAINE siyo mkoa wa square mita 100,ukasema unaingia dk zero na kutoka,otherwise utumie mashambulizi ya anga mwanzo mwisho bila kuangalia raia wala chochote tena hapo unaopambana nao uombee wasiwe hata na siraha yeyote ya kujibu mashambulizi

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
una uhakika kuwa alikuwa anafikiria hivyo?

vita siyo mchezo wa kula githeri nakuanza kuharisha baada ya tumbo kuvurugika,vita ni process pia vita ni betting mzee vita ni Risk ,

UKRAINE siyo mkoa wa square mita 100,ukasema unaingia dk zero na kutoka,otherwise utumie mashambulizi ya anga mwanzo mwisho bila kuangalia raia wala chochote tena hapo unaopambana nao uombee wasiwe hata na siraha yeyote ya kujibu mashambulizi

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Putin kulingana na intelligence ya USA ni kwamba alikuwa amepanga kufanya kitu kinachoitwa Blitzkrieg. Yaani vita ya haraka haraka inayompata adui kama hayuko tayari. Kama vile Germany walivyoifanyia France in World war 2. France ilianguka chini ya wiki moja unusu.
 
Putin kulingana na intelligence ya USA ni kwamba alikuwa amepanga kufanya kitu kinachoitwa Blitzkrieg. Yaani vita ya haraka haraka inayompata adui kama hayuko tayari. Kama vile Germany walivyoifanyia France in World war 2. France ilianguka chini ya wiki moja unusu.
Lakini hii vita haijamaliza wiki moja na nusu
 
"The unaudited financial results" anyway, do you know how much our biggest banks generate semi annually?
Net interest income ya Crdb in 2020 ilikuwa Tzsh569 billion ambayo ni takriban Ksh 27 billion. Hio imeishinda ksh 24 billion ya Kengen kidogo sana. Soma report ya Crdb niliyoattach hapo chini.
Cc ichoboy01 Geza Ulole
 

Attachments

Lakini hii vita haijamaliza wiki moja na nusu
Kulingana na intelligence ya Marekani Putin aliipuzilia mbali Ukraine na alipanga kuiangusha chini ya siku tatu. Hio ndio maana aliattack kutoka directions tatu, kaskazini, kusini na mashariki. Lakini hizo axis zote zimekwama hakuna hata moja ambayo imeweza kuingia ndani ya Ukraine kwa sana. Sasa Putin ameamua kutupa missiles na makombora kwa hizo cities ili kuuwa civilians kwa maana ya kuwatoa hari ya kupigana. Anataka kuwatishia waache kupigana. Anarusha makombora kwenye nyumba za watu na kuuwa raia. Lakini raia wa Ukraine bado wana hamu ya kupigana na kuiokoa nchi yao.
 
Hizo case zote umetaja hapo, hazifananishiki kabisa Kati ya sisi na nyinyi.. ipo hiv km of paved roads in tz ni nyingi kuliko nchi yoyote ukanda huu, ndio maana biashara ya mabasi ya kusafirisha abiria mikoani kwa hapa bongo ni kubwa kuliko nchi yoyote, lakini moja ya sababu ni kuwa na barabara zinazopitika vizur nchi nzima .. uko kwenu ni upuuzi mtupu we all know

Tena mabasi ya maana. 😂 😂 😂

1646218795435.png
 
Back
Top Bottom