Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,758
The richest guy in Kunyaland at the moment
hvi nyinyi munamuelewa huyu 😂😂😂Leta housing project pekeee.yenye iko on paper alafu kwa ground 😄
kiosk unaita mall! Hell no!Tatu City Shopping Mall
![]()
Kwa hivyo kama Marekani walifanya maovu kwa nchi zingine hio inamaanisha kwamba anachofanya Putin ni sawa kisheria? Where is the logic in your argument?libya, iraq etc hao mashetani wamatekani hawakua mashetani au sio , au ndio ule msemo vita viskie kwa mwenzako??
Na huo udogo wake ndio size ya Dege Eco - and better still, it's a more successful project than Dege Eco maanake imekamilika na watu wanaishi - Dege Eco imestall.Na hako kamradi ka apartments za great wal si haka hapa 👇View attachment 2136139kapo katikati ya industrial area 😂😂😂 Dah noma sana .. unataka kulinganisha na dege ecco village Kigamboni, unakichaa wewe NairobiWalker.? Eti are you crazy or something.? Tony254 njoo ucheke na hapa .. wazee wa kujigamba 😂😂
kwann akifanya maovu hamusemi sasa??? ww unajua kwann putin anaingia vitani je sababu kubwa unajua ni zipi??? soma kwanza ujue shida kubwa iko wapi na nani ni chanzoKwa hivyo kama Marekani walifanya maovu kwa nchi zingine hio inamaanisha kwamba anachofanya Putin ni sawa kisheria? Where is the logic in your argument?
Mtanzania afunze Mkenya kuhusu mall?🤣🤣kiosk unaita mall! Hell no!
Putin hana right yoyote kisheria kuattack an independent soveriegn country. Putin kama ana tatizo na Ukraine anastahili kuisuluhisha kwa mbinu za kisheria. Sio kuvunja sheria na kuchukua sheria mikononi mwake.kwann akifanya maovu hamusemi sasa??? ww unajua kwann putin anaingia vitani je sababu kubwa unajua ni zipi??? soma kwanza ujue shida kubwa iko wapi na nani ni chanzo
Swali langu ni simple tuu kwahiyo unataka kusema EXIM bank hawako Ethiopia? Badala ya kujibu swali unaanza matusi ya kuniita mjinga hata mimi matusi nayaweza pia.Mjinga kama wewe huelewi simple things. Mimi na Geza Ulole tulikuwa tunazungumza kuhusu ikiwa Exim bank of Tanzania wana branch yao Ethiopia. Mimi nikasema hawana branch Ethiopia, kile wanacho kinaitwa representative office. Hii representative office sio branch kwa maana hakiwezi kutake deposits wala kugive out loans. Sheria ya Ethiopia hairuhusu benki za kigeni kufungua branch huko ila wiki iliyopita PM Abiy wa Ethiopia alisema kwamba watabadilisha sheria ili benki za nje zifungue branch Ethiopia ili ziweze kuchukua deposit na kugive out loans. Wewe ulidandia mazungumzo yangu na Geza Ulole bila kuelewa tulikuwa tunazungumzia nini. Kcb bank na Equity bank pia zina representative office huko Ethiopia. Representative office sio branch, ujifunze hilo leo.
Ila Exim Bank Tanzania inashughulika na transaction za Djibouti! Haswa za mizigo inayoenda Port Djibouti!Mjinga kama wewe huelewi simple things. Mimi na Geza Ulole tulikuwa tunazungumza kuhusu ikiwa Exim bank of Tanzania wana branch yao Ethiopia. Mimi nikasema hawana branch Ethiopia, kile wanacho kinaitwa representative office. Hii representative office sio branch kwa maana hakiwezi kutake deposits wala kugive out loans. Sheria ya Ethiopia hairuhusu benki za kigeni kufungua branch huko ila wiki iliyopita PM Abiy wa Ethiopia alisema kwamba watabadilisha sheria ili benki za nje zifungue branch Ethiopia ili ziweze kuchukua deposit na kugive out loans. Wewe ulidandia mazungumzo yangu na Geza Ulole bila kuelewa tulikuwa tunazungumzia nini. Kcb bank na Equity bank pia zina representative office huko Ethiopia. Representative office sio branch, ujifunze hilo leo.
nyie mbona mmechukua sehemu ya Somalia na hata kesi mmeshindwa ICC?Putin hana right yoyote kisheria kuattack an independent soveriegn country. Putin kama ana tatizo na Ukraine anastahili kuisuluhisha kwa mbinu za kisheria. Sio kuvunja sheria na kuchukua sheria mikononi mwake.
Kiingereza ni lugha iliyokuja na meli, usinibabaishe, Nina lugha yangu nnayoweza kuitumia vizuri kuliko mtu yeyote kwenye ukoo wenu.. any way nilichoka ukubali ni kwamba dege ni mradi mkubwa na nashkuru umenielewa case closed.. tusubiri dege iishe tulete mijadala mingineNa huo udogo wake ndio size ya Dege Eco - and better still, it's a more successful project than Dege Eco maanake imekamilika na watu wanaishi - Dege Eco imestall.
Halafu shida yenu wabongo huwa ni kiingereza - nimesema kuna Industrial Park, sio Industrial Area - kuna tofauti between the two. Ndio hii Industrial Park ya Greatwall Gardens. Hiyo hapo niliyocircle in blue inaitwa Industrial Park
View attachment 2136186
Sisi umetuona tukipigana vita na Somalia kuhusu kipande hicho cha bahari? Sisi ni wapenda amani. Hatuwezi kuchukua sheria mkononi mwetu kama anavyofanya Putin. Sisi tunatumia mbinu za kidiplomasia kusuluhisha mgogoro wetu na Somalianyie mbona mmechukua sehemu ya Somalia na hata kesi mmeshindwa ICC?
The whole of Kunyaland haina Gulf Stream
Nimecheka sana kulinganisha huu upopoma (apartments) na dege ecco village it's disrespectful .. yani huu
View attachment 2136037you must be kidding.. any way Dege ecco village sio apartments ni city kabisa kama ambavyo mnatengeneza tatu city na zinginezo nilishangaa sana Tony eti na yeye yupo humu ndani siku zote na hajui chochote kuhusu Dege ecco village. Huu mradi sio tu apartments za kuishi ni kila kitu kipo ndani, barabara za lami, water sewage systems, and all them centers for different services ... And it's some km away from CBD.. Pitia hapa
. Angalia hii video hadi mwisho
Heehee, kulingana na facts on ground Dege Eco ni project ndogo sana. Hata hii area yote ikijengwa imalizike bado it's a very small project. Sasa ukiita hii city na Nyayo Housing ya NSSF Kenya tutaita nini? 🤣🤣Kiingereza ni lugha iliyokuja na meli, usinibabaishe, Nina lugha yangu nnayoweza kuitumia vizuri kuliko mtu yeyote kwenye ukoo wenu.. any way nilichoka ukubali ni kwamba dege ni mradi mkubwa na nashkuru umenielewa case closed.. tusubiri dege iishe tulete mijadala mingine