Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenye suala la mabenki za Ukanda huu ninafahamu sheria zote. Exim bank of Tanzania ilichofungua Ethiopia ni representative office na wala sio branch. Representative office hairuhusiwi kuchukua deposit kutoka kwa wananchi.

Hio article uliyoipost hukuisoma vizuri, zaidi ya kukurupuka tu. Hii nimeitoa kwenye hio article uliyoweka.

Our Commercial Representative Office is expected to be fully operational in December 2019 at Zouleka LKG Building, 2nd floor, Sub City Bole, 2160/B. Addis Ababa


Halafu wewe na Geza Ulole naomba mfahamu kuwa Ethiopia bado haijaruhusu foreign banks kuoperate in Ethiopia. Hata Kcb bank ina representative office tu na wala haina branch Ethiopia. Ukiendelea kupinga nitakupatia more facts kuhusu banking system ya Ethiopia.

Kwahiyo Exim hawako Ethiopia?
 
Ila pilipili usiyoila yakuwashiani? Wapi expressway yenu??😂😂😂😅😅😅🤣🤣🤣tofauti yenu na wale wamama wa kupiga udaku kuhusu majirani ni gani? 😅😅🤣🤣
😂😂😂😂😂
 
Zingine sio city kabisa, zingine ni apartments tu anazoweka. City inatakiwa iwe self-contained na amenities zote ikiwemo sewerage and water facilities,substation ya umeme, shule ya msingi, hospitali,supermarket au mall, barabara ya lami, street lights, warehouses, ofisi za makampuni, na kadhalika. Hio Dege ecco village anayopost wala sio city. Hizo ni apartments tu anazozipost hapa. Hio Kigamboni city aipost tuione. Kenya tuna Tatu city na Konza city na zote tumezifungulia nyuzi. Mimi nilifungua uzi wa konza city na huwa naiupdate kila wakati. Konza city kunajengwa kila aina ya infrastructure hata mitaro imechimbwa na nyaya za umeme zinawekwa chini hutaona post za stima Konza city. Fibre optic, pipe za maji zote zinapitia kwenye hizi mitaro. Kisha mitaro zinafunikwa vizuri hutajua nini kinapitia huko chini. Sewege treatment plant pia inajengwa Konza city. Substation kubwa itakayo step down umeme pia inajengwa Konza city.
Barabara ya lami pia zinajengwa. Phase 1 ni 400 acres na itakuwa na makampuni aina tofauti tofauti hususan za teknolojia. Pia university ya South Korea inayoitwa KAIST imeanza ujenzi huko. Ukitaka unaweza kupitia uzi wenyewe.

Sama boy 255 wakati mwingine ni vizuri kuwa humble na kujifunza mambo ambayo nyie hamna. Mtu kama The best 007 alisema kwamba hakuna kitu ambacho kiko Kenya ambacho hakiko TZ. Sasa wacha The Best 007 atuonyeshe city Tanzania ambayo imejengwa from scratch na ipo well planned. Kigamboni bado ujenzi upo 1%
So Dodoma huijui au co? Usije ukasema eti ni capital city, Kigamboni city nayo huijui wakati tumeweka picha humu mara kibao na kuna mkenya humu aliwahi kuita picha za Kigamboni city render.
 
281609549.jpeg
 
We check the % wacha panganga,,kwani huoni sisi tuko na 64%
Where does it say 64% ni Kenyans? Shareholders who bought shares at Nairobi stock exchange could be anyone from Tanzania, dubai or uganda or any company from outside Kenya and of course a few kenyans.
 
Kwahiyo Exim hawako Ethiopia?
Mjinga kama wewe huelewi simple things. Mimi na Geza Ulole tulikuwa tunazungumza kuhusu ikiwa Exim bank of Tanzania wana branch yao Ethiopia. Mimi nikasema hawana branch Ethiopia, kile wanacho kinaitwa representative office. Hii representative office sio branch kwa maana hakiwezi kutake deposits wala kugive out loans. Sheria ya Ethiopia hairuhusu benki za kigeni kufungua branch huko ila wiki iliyopita PM Abiy wa Ethiopia alisema kwamba watabadilisha sheria ili benki za nje zifungue branch Ethiopia ili ziweze kuchukua deposit na kugive out loans. Wewe ulidandia mazungumzo yangu na Geza Ulole bila kuelewa tulikuwa tunazungumzia nini. Kcb bank na Equity bank pia zina representative office huko Ethiopia. Representative office sio branch, ujifunze hilo leo.
 
So Dodoma huijui au co? Usije ukasema eti ni capital city, Kigamboni city nayo huijui wakati tumeweka picha humu mara kibao na kuna mkenya humu aliwahi kuita picha za Kigamboni city render.
Kigamboni city sijaiona lakini pengine makosa ni yangu kwa sababu sikuwa makini wakati picha zinapostiwa humu. Nitakuwa makini next time picha ikiwekwa huku. Kuhusu Dodoma, ujenzi naskia ulianza miaka 30 zilizopita. Sasa kwa nini tuhesabu Dodoma ikiwa city zote nilizotaja ujenzi wao ulianza ndani ya miaka kumi zilizopita ukizingatia hata ile ya Nigeria na Egypt? Dodoma ninaihesabu ikiwa tutazungumzia kuhusu cities ambazo zimejengwa from scratch since independence na hapo nitaweka pia Abuja kwa maana hio ilijengwa from scratch. Kwa hivyo hio Dodoma kama tunazingatia tu recent cities haitahesabika ila kama tunazingatia cities built since independence basi litahesabika. Picha za Kigamboni hata kama ni render ningependa kuiona ili nione itakuwa na facilities zipi. Anaye picha ya render apost.
 
Ila pilipili usiyoila yakuwashiani? Wapi expressway yenu??😂😂😂😅😅😅🤣🤣🤣tofauti yenu na wale wamama wa kupiga udaku kuhusu majirani ni gani? 😅😅🤣🤣
kwani ile ni yenu au ya machina ??😂😂😂 kwann mchina aichukue kwa miaka 30 kwann hamutapita bila malipo kwenda kwa mchina

hvi kenya mulimkosea wapi Mungu 🤣🤣
 
Ati 13 years 😂😂 ulidhani ni njia inajengwa imalize miaka tatu? Na hizo city zenu ziko wapi btw 🤣🤣🤣 zilikuwa zinaitwa kigamboni? Hata nimesahau jina, na bagamoyo ipo wapi? Difference between story telling and people who work, na bado unafikiria tuko ligi moja.
hutaki kama ni over 13 yrs au??😂😂😂 inside kigamboni kuna projects nyingi sana zilizojengwa na zinazoendelea kujengwa ukiachilia mbali private sectors ndio wako moto kabisa kigamboni

mukiambiwa ukweli munapanic kwann???
 
Drawing board gani mzee.? Mbona mambow yalishaanza kufanywa.?

Walker wewe ni mtanzania gani usiejua kwamba Kigamboni Iko na miradi mingi na ipo iliyokwishaanza utekelezaji.?

Unataka kuona master plan.?

Usifuate mikumbo kijana huijui tz .. mfano dege ecco village Kigamboni.. master plan hii 👇View attachment 2135727View attachment 2135728progress hii 👇View attachment 2135730View attachment 2135731View attachment 2135732. Heb pita na hii video. .

Hii Dege Eco nikiipandisha saana, nitailinganisha na Greatwall Gardens Nairobi (ambapo wakati Greatwall Gardens ni hotcake ya home buyers, hii Dege Eco ni white elephant considering ilianza kujengwa before Greatwall Gardens yet GG ishamalizika ishajaa watu na hii yenu bado inadtruggle). Hii soon city, hii ni gated community tu. Kitu ambacho mmeanza kukifanya juzi sisi tulianza 1970 na mtaa uitwao Buru Buru.
 
Back
Top Bottom