Kama huwaamini worldbank itakua na shida wewekwanza population ya Ghana si kweli 30 mln people! jaribu kuchunguza miaka yoote imekuwa hivyo ! Say Ghana population within Ghana!
Kwenye huyo idara hawana mpinzanimajiran angalieni wachina wanavyofanya kwao
vs mlichofanyiwa
Umekata tamaa? Huo sio muandiko wako kabisaTutakuwaje na GDP kubwa wakati watumishi wa umma ndiyo nyie kina tuusan kazi hamtaki kufanya mnataka mishahara mikubwa ndiyo mana mpk Leo mnashindwa kuondoa slums na kuimaliza njaa na kipindupindu vinavyowatesa kila mwaka.



Tatizo mihogo ya sikuizi aina radha nzuri hata wanaotembeza ya kutafuna mibichi ni mibovu mibaya sijui wizara ya kilimo inakwama wapi kwenye swala la mbegu za kilimo na sheria za mazao ya kilimo kibiashara
Wapumbavuu sana watumishi wa umma wa tz kazi zao ni kujaza vyoo tu na kudai waongezewe mishaharaTutakuwaje na GDP kubwa wakati watumishi wa umma ndiyo nyie kina tuusan kazi hamtaki kufanya mnataka mishahara mikubwa ndiyo mana mpk Leo mnashindwa kuondoa slums na kuimaliza njaa na kipindupindu vinavyowatesa kila mwaka.
Is this the only real estate development in dar?Naona umeona utoe nyongo 😂😂😂. Fananisha na hapa 👇View attachment 2133974View attachment 2133977View attachment 2133980View attachment 2134004
Hapo kuna nini cha ajabu sasa

Wasichana wenzake kama huyu upande wa kunyaland wapo nyamakima wanauza uroda kwenye jua la saa 6 😅😅😅
Wasichana wenzake kama huyu upande wa kunyaland wapo nyamakima wanauza uroda kwenye jua la saa 6 😅😅😅
Ndio mnaamka? Hongera.
Hii speed ya kutoa vibali vya ujenzi ndani ya hifadhi ipungue kidogo
Inatakiwa waweke corridor ya hotel siyo kujenga kila sehemu mbuganiKweli mzee zitakua sio hifadhi tena miaka ijayo saivi wanafaa wapelekwe seluu huko na hifadhi zingine za southern circuit au wajenge hotel kwenye miji inayakarbia izo hifadhii
Ndio maana tunahamisha wamasai🤣Hii speed ya kutoa vibali vya ujenzi ndani ya hifadhi ipungue kidogo
Nitafutie top10 yyte ile ya miji iliyoendelea zaid Africa inayoonyesha Accra imeendelea zaid ya Dar halafu namim ntakuletea list mbalimbali..Tatizo lako ni ujinga wa kutafuta takwimu au uvivu uliopindukia....haya hii summary kutoka world bank .
Watu milioni 30 waGhana wanawezaje kutengeneza GDP ya $70B alafu sisi tulio milioni 60 tutengeneze $60B? Huwezi tu kuona wanatuzidi. Hii mada naifunga rasmi maana denial zenu hazibadili chochote View attachment 2134138View attachment 2134140View attachment 2134141View attachment 2134142
Kwa kukusahihisha TU kwanza latest data Tz GDP inasomeka $69 billion .. Alaf mbona inabadilisha mada, kwani battle uliyoiomba ni kati ya Dar vs Accra au TZ vs Ghana.?Tatizo lako ni ujinga wa kutafuta takwimu au uvivu uliopindukia....haya hii summary kutoka world bank .
Watu milioni 30 waGhana wanawezaje kutengeneza GDP ya $70B alafu sisi tulio milioni 60 tutengeneze $60B? Huwezi tu kuona wanatuzidi. Hii mada naifunga rasmi maana denial zenu hazibadili chochote View attachment 2134138View attachment 2134140View attachment 2134141View attachment 2134142