Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20220228_153537.jpg
20220228_153533.jpg
 
Mbona sasa makasiriko, nimetanguliza kabisa info kuwa sio mtaalam na nikasema wataalamu watuambie kwasababu niliona taarifa fulani kuhusu nguzo, beams sijui lintel n.k. Swala kama wewe ni mtalam wa hayo mambo unaweka maelezo tuelewe sio makasiriko
hakuna makasiriko,
unapoanzisha jambo uwe umejithibitishia kitaalam siyo kuropoka ropoka

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna list yeyote imewahi kuirank Accra above Dar kimaendeleo.. Embu lete tuone
Tatizo lako ni ujinga wa kutafuta takwimu au uvivu uliopindukia....haya hii summary kutoka world bank .
Watu milioni 30 waGhana wanawezaje kutengeneza GDP ya $70B alafu sisi tulio milioni 60 tutengeneze $60B? Huwezi tu kuona wanatuzidi. Hii mada naifunga rasmi maana denial zenu hazibadili chochote
Screenshot_20220228-170454_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20220228-170544_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20220228-170848_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20220228-170858_Samsung%20Internet.jpg
 
Tatizo lako ni ujinga wa kutafuta takwimu au uvivu uliopindukia....haya hii summary kutoka world bank .
Watu milioni 30 waGhana wanawezaje kutengeneza GDP ya $70B alafu sisi tulio milioni 60 tutengeneze $60B? Huwezi tu kuona wanatuzidi. Hii mada naifunga rasmi maana denial zenu hazibadili chochote View attachment 2134138View attachment 2134140View attachment 2134141View attachment 2134142
kwanza population ya Ghana si kweli 30 mln people! jaribu kuchunguza miaka yoote imekuwa hivyo ! Say Ghana population within Ghana!
 
Tatizo lako ni ujinga wa kutafuta takwimu au uvivu uliopindukia....haya hii summary kutoka world bank .
Watu milioni 30 waGhana wanawezaje kutengeneza GDP ya $70B alafu sisi tulio milioni 60 tutengeneze $60B? Huwezi tu kuona wanatuzidi. Hii mada naifunga rasmi maana denial zenu hazibadili chochote View attachment 2134138View attachment 2134140View attachment 2134141View attachment 2134142
Tutakuwaje na GDP kubwa wakati watumishi wa umma ndiyo nyie kina tuusan kazi hamtaki kufanya mnataka mishahara mikubwa ndiyo mana mpk Leo mnashindwa kuondoa slums na kuimaliza njaa na kipindupindu vinavyowatesa kila mwaka.
 
Back
Top Bottom