tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Kigoma ndio mkoa wa mwisho kwenye kila kitu,ndio mnajenga barabara leo?hakuna umeme wa grid yani tabu tupu sasa unabisha nn hapoWacha majungu wewe projects za SGR na bandari na ukarabati wa meli lake Tanganyika zinafanyikia wapi?


