Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Accra
800px-Tetteh_Quarshie_Interchange_(Accra).jpg
ElC6yWwW0AEYRPg.jpeg.jpg
ElC60FkX0AcF4FJ.jpeg.jpg
 
Hapa cha mana ulichoonesha ni hivi vi estate tu, bado endelea kuweka picha za mana ili tukubali kwamba wewe co maji mara moja na tukubaliane na hoja zako. Kwenye vi estate nadhani wametuzidi hapa EA labda Dodoma ikiisha.
Tunaenda taratibu naona hata barabara tunapigwa
 
sasa kama siyo mtaalam kwanini uropoke kwa vitu usivyovijua?
nilijua kuwa umewahi tembelea hayo madaraja mawili na ukafanya vipimo vya ubora,kumbe ni mropokaji tu

uache utoto,ifike mahala ukue,


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Mbona sasa makasiriko, nimetanguliza kabisa info kuwa sio mtaalam na nikasema wataalamu watuambie kwasababu niliona taarifa fulani kuhusu nguzo, beams sijui lintel n.k. Swala kama wewe ni mtalam wa hayo mambo unaweka maelezo tuelewe sio makasiriko
 
Wengine wamebaki kwa ujinga wa football tu
Kuomba serikali ijenge more stadiums za mpira!
Nchi ya kishambaa sana
So football ni ujinga kwasababu nyie mmefungiwa kutokana na kukosa viwanja bora na ligi ya kishamba au co [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kenya ni nchi ya kipumbavu na wakenya ni viumbe wajinga sn, eti kwasababu wao hawana ligi bora kutokana na kukosa pesa ya kulipa wachezaji na kushindwa kujenga viwanja vzr basi wanaita football ni ujinga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
nithibitishe nn tena hapo hvi kuna kitu ww hukifahamu ?? [emoji23][emoji23][emoji23] au umetumwa uharibu huu uzi kwa kuleta mada zingine ?
Agenda ilikua fupi sana kama sio kweli thibitisha mkaaa kulialia tu
 
Back
Top Bottom