Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,887
- 103,753
Kwa hivi hiyo barabara ya Kisumu - Busia ni unpaved ama unajaribu kusema nini?
Lami imegota palee! Ni bora kuwa na flyover ya show off lakini barabara ikabaki vumbi! Ukunya to the maximum!
Kwa hivi hiyo barabara ya Kisumu - Busia ni unpaved ama unajaribu kusema nini?
Hata hizo smart meters huku zipo tangu last year. Yani unajaribu pa kuondokea Ila naziba mapengo yote.🤣🤣Sasa unatoka kwenye smart meters unakuja kwenye mpesa? Unajaribu kufunika aibu? 😂😂😂😂😂
wewe ni mpumbavu na wapi? Hebu eleza maana ya smart meters kwanza!heheheee...... maajabu ya musa haya. eti ndo wanaaza sasa... kenya tulianza mambo na tokens in 2010., ata kando na tokens za umeme, yani kila kitu, eg. kulipia Dstv ukiwa ndani ya nyumba, ku book an airticket ama sgr at the comfort of your home, kugaramia maji, supermarket, karoo and so on...........
Bongolala, Kisumu -Busia road is paved 100%. Rudi uswazini acha kulazimisha mambo
Achana na huyo mchawiKwa hivi hiyo barabara ya Kisumu - Busia ni unpaved ama unajaribu kusema nini?
Dar hii hapaUbungo interchange is extremely unplanned. Magufuli wanted to compete with Kenya akajenga 'beachi kidimbwi' akaiita interchange. Now the place looks unplanned and shitty.
Hapo kwa 4.30Lami imegota palee! Ni bora kuwa na flyover ya show off lakini barabara ikabaki vumbi! Ukunya to the maximum!
![]()
Hapo kwa 4.30
unapoandikiwa jambo muwe mnasoma kwa umakini msiwe mnakurupuka kujibuheheheee...... maajabu ya musa haya. eti ndo wanaanza sasa... kenya tulitokamo huko kitambo. tulianza mambo na tokens in 2010., ata kando na tokens za umeme, yani kila kitu, eg. kulipia Dstv ukiwa ndani ya nyumba, ku book an airticket ama sgr at the comfort of your home, kugaramia maji, supermarket, karoo and so on...........


Uwe unasoma kwa kuelewa basi, yn taarifa inasema tunaachana na huo utaratibu lkn wewe bado unang'ang'ania tu.
Na mbona kwa list ya best roads in Afrika hamuonekani mahali💩Kenya is 20yrs infront of you!Kunyaland nzima haina barabara ya quality kama hiyo ya Arusha!
Viwango vya barabara zenyu! 👇👇
Wewe ndiyo unakuwaga mbuzi usiyeelewa kabisa, huwa unaongea kitu usichokijua, mfano hapa umeongea ugoro wa kimataifa kama kawaida yako.heheheee...... maajabu ya musa haya. eti ndo wanaanza sasa... kenya tulitokamo huko kitambo. tulianza mambo na tokens in 2010., ata kando na tokens za umeme, yani kila kitu, eg. kulipia Dstv ukiwa ndani ya nyumba, ku book an airticket ama sgr at the comfort of your home, kugaramia maji, supermarket, karoo and so on...........
Huyo tuusan ni mnywa komoni asikuchanganye akili, hivi wewe na akili zako unaweza kusema Avic town ina nyumba 4? Avic town mpk nyie wakunya mnaiogopa, kuna mkunya mwenzio anaitwa Nicxie ameshawahi kuita render nyumba za Avic townKuna mwenye alisema hizo nyumba zimeishinda Karen ya Nairobi humu. Hapo ndio niliconfirm hawa ndugu zako ni wabishi kuliko mkia wa mbuzi.![]()





Hata kwenye passport ukiangalia passport yao imekaa ushagoo sn huwezi fananisha na passport ya Tz.Hata cellular phones zimeingia kwanza Tanzania kabla ya kunyaland, saivi wana struggle kutuiga kwenye NIDA
Hata smart driving license hawana, wana kama vile vipande vya mkoloni,![]()
you are struggling with bonoko electric trains not because you need it but to score against Kenya....lol.How poor tanzanians will afford fare is another story
Ndio manake kwani mimi nilisema ni Dar au Accra?This is Abidjan, Cote d'Ivoire.