Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

accra hata kwa arusha bado sana
36583C5C-AD18-4B7D-91B5-E671A20EF654.jpeg
 
Zuzu kumbe hata Accra yenyew haijuiinterchange kwa slums...ushuziii hiii ndio izidi TzView attachment 2131537View attachment 2131538View attachment 2131539
Wewe fala,sijaweka pics ya Accra nimeweka pics za Abdjan na nilikuwa najibu kenge mwenzio aliyesema miji ya west hakuna inaizidi Dar..

Sasa hapo na Dar wapi kuna slums? Hao wanaweka hizo interchange ku enforce efficient transport na sio kujiskia au kusubiria jam kama Tzn.

Pia Wana Uchumi wa kufanya hivyo,Tzn haupo.
 
Wewe fala,sijaweka pics ya Accra nimeweka pics za Abdjan na nilikuwa najibu kenge mwenzio aliyesema miji ya west hakuna inaizidi Dar..

Sasa hapo na Dar wapi kuna slums? Hao wanaweka hizo interchange ku enforce efficient transport na sio kujiskia au kusubiria jam kama Tzn.

Pia Wana Uchumi wa kufanya hivyo,Tzn haupo.
uchumi wa kufanya nini ambao Tz haupo?

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
hapa kidogo waGhana walichezwo, eti hii pukwase interchange ili gharimu dalla $1.5b ilhali nairobi expressway ili gharimi dalla $1b

yani hiiView attachment 2131637

vs hii

View attachment 2131638
and note; nbi xpresswy ina stretch 27km, pukwase 1km kama mamba ya ubungo yani bichi kidimbwi
Ni the whole highway including interchanges kadhaa plus hiii four tier
 
Daaa wazee kama hii ndo Accra ya Ghana nnayoisikiaga basi hamna kitu, sasa hii si Makumbusho tuu jamani. Nna wasiwasi na data za GDP za Tz, hawa wazee wa takwimu wanahitaji kufumuliwa.
GDP halisia ya Tz ni$150bn, mwaka 2025 tutakuwa tumefika $200bn kwa sababu miradi yote ya kimkakati itakuwa imeanza kuingiza pesa.
 
Mbona haipo kwenye mpangilio aisee,nahisi hili ndilo eneo wanaloishi wenye pesa na bado halipo kwenye mpangilio, hebu weka mji mwingine tuanze kushindanisha, alafu wakuu naomba tumalizane na tuusan kwnz mana waswahili wanasema uongo ukiongelewa sn na usipokanushwa hugeuka kuwa ukweli, ss rasmi nimkaribishe tuusan kwenye battle ya Ghana vs Tz.
 
Mbona haipo kwenye mpangilio aisee,nahisi hili ndilo eneo wanaloishi wenye pesa na bado halipo kwenye mpangilio, hebu weka mji mwingine tuanze kushindanisha, alafu wakuu naomba tumalizane na tuusan kwnz mana waswahili wanasema uongo ukiongelewa sn na usipokanushwa hugeuka kuwa ukweli, ss rasmi nimkaribishe tuusan kwenye battle ya Ghana vs Tz.
Mbona Dar creme de la crème areas no SHITHOLE!!
Kina mbezi sijui oysterbay sijui masaki!
Hazifikii top 5 ya Accra!
 
Back
Top Bottom