Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Imagine Kikwete alipoteza hili dili kwa wakunya,
Kongole kwa JPM kwa kunyakua hii dili midomoni mwa wakunya,
Kunyans will always hate JPM for this.
Dili gani wewe,mbona unahangaika sana na JK,hilo dili lilokuwepo awamu yake akapoteza?

Unafeli pakubwa Sana dingi.
 
from tuonyesheni km 1 ya reli mliojenga, to tuonyeshi km 100 mliojenga, to tuonyeshi electrical catenary hata moja, to tuonyeshi kipande cha kwenda bandarin, to tuonyeshi train zinatakazo kuja, to kwa umeme upi huo mtaendesha train, saiz mpo suala la nauli/fare! mko sawa kweli majiran? lin mtakubali reli yenu mlipigwa, lin mtakubali reli yetu ni bora? lin mtakubali bila kuongeza excuse yoyote nyingine?
The consequence of Wakunya using 0% of their brains before they talk!




Ni neighbor gani huyo anatumia "diesel clunkers"? Mimi nataka nimjue tu...!
 
Hata hizo smart meters huku zipo tangu last year. Yani unajaribu pa kuondokea Ila naziba mapengo yote.🤣🤣

Wapi zinapokea token without manual dialing?

Screenshot_20220226-163739.png
 
atleast kenya has some influence in the international matters. tanganyika has what.!?? nothing.! maana ingine ya gdp kubwa

Screenshot_20220226-171616_Gallery.jpg
 
Sasa unachobisha hili vumbi si vumbi?

View attachment 2132025
I like how you are forcing what's non existing.....that's why you are posting some blurred random photo with stupid machinations....You know what....I know this reverse psychology.......You have no single interchange outside Dar while kisumu city has 6 interchanges.....your village like cities like dodoma still being rescued with your feeble government funds to atleast make it look like some town.
 
2009 MPESA haikuwa active Tanzania verge wewe. Utaachaje kitu hujawai kuwa nacho? You launched in 2008, it couldn't attract customers until Vodacom made strategy changes in 2010.
Mimi nilipohitimu o-level 2009 nilisajili M-Pesa kwenye line yangu na december 2009 nlienda Moshi kuhesabiwa na nikawithdraw kwa M-Pesa
 
Mwengine anakuambia huu mji unazidi Dar, ukimuambia unazidi vipi anakuletea vumbi, wallahi watz wengi tulikuwa na mawazo ya kimbwa sn mpk pale tulipokuja kuamshwa usingizini, ona vumbi hili ambalo baadhi ya watz wenye mawazo ya kimbwa wanakuambia vumbi hili linazidi DarView attachment 2131546
Utazani pembezoni mwa dar wakati wa mafuriko uwo wekundu kama maji ya mafuriko
 
hapa kidogo waGhana walichezwo, eti hii pukwase interchange ili gharimu dalla $1b ilhali nairobi expressway dalla $0.6b

yani hiiView attachment 2131637

vs hii

View attachment 2131638
and note; nbi xpresswy ina stretch 27km, pukwase 1km only.!?
Kwani ujui kuwa wazungu na waasia wanakula africa kwa kutuingiza kwenye MIRADI ISIYO NA TIJA AU UMUHIMU SASA CHEKI IYO INTERCHANGE YA GHANA NI INSIGNIFICANT
Hapo walipo jenga ni porini tu hakuna umuhimu wowote no logic interchange
 
from tuonyesheni km 1 ya reli mliojenga, to tuonyeshi km 100 mliojenga, to tuonyeshi electrical catenary hata moja, to tuonyeshi kipande cha kwenda bandarin, to tuonyeshi train zinatakazo kuja, to kwa umeme upi huo mtaendesha train, saiz mpo suala la nauli/fare! mko sawa kweli majiran? lin mtakubali reli yenu mlipigwa, lin mtakubali reli yetu ni bora? lin mtakubali bila kuongeza excuse yoyote nyingine?
Hahhaa umenikumbusha ule uzi niliofungua kua hawa majirani wanawasiwasi na huo mradi kuliko hata yepi merkez waliopewa tender
 
Back
Top Bottom