Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

GDP halisia ya Tz ni$150bn, mwaka 2025 tutakuwa tumefika $200bn kwa sababu miradi yote ya kimkakati itakuwa imeanza kuingiza pesa.
so kumaanisha tz inaizidi kenya eeh.!?

yani hakuna venye tanganyika itaizidi kenya. ata sio lazima uangalie gdp rankings, yani dorminance ya kenya tu kwenye kila takwimu itakayowekwa kwenye huu uzi dhiirisho tosha.! kwamba kenya ndio darling wa gdp katika ukanda huu
 
hapa kidogo waGhana walichezwo, eti hii pukwase interchange ili gharimu dalla $1b ilhali nairobi expressway dalla $0.6b

yani hiiView attachment 2131637

vs hii

View attachment 2131638
and note; nbi xpresswy ina stretch 27km, pukwase 1km only.!?
Expressway pia mlipigwa, haiwezekani 8km flyover mjengewe kwa $668bn na bado cost zinaendelea, hyo interchange ya Pokuase ni nzuri sema imekaa sehemu ambayo Haina mvuto ndiyo mana imekuwa kama kichekesho, vuta picha ingekuwa Tz mana huku Tz especially Dar hakuna maudongo mekundu na pia huwa tunafanya pavement.
 
Wakenya mnafaa mtuogope

images (1).jpeg


images.jpeg


ktx high speed train 1st class (1 pic).jpg
 
Imagine Kikwete alipoteza hili dili kwa wakunya,
Kongole kwa JPM kwa kunyakua hii dili midomoni mwa wakunya,
Kunyans will always hate JPM for this.
Huyo jamaa huwa haeleweki humu eti anakuambia JPM hajafanya kitu alafu hapo hapo anakesha akituma screenshot za miradi iliyoanzishwa na the Great JPM, kuna mda utakuta anaponda kitu alafu mbele kdg anatumia kitu hicho hicho alichokiponda kuwasema Wakenya, mara utakuta anaiponda Dar baadae anatumia picha za Dar kuiponda Nairobi, huyo msenge hyo I'd yake pia naipiga ban Kama ile ya opportunity cost, ya naipiga ban saizi.
 
ndio maana

nesema Kunya ranking zinawaharibu akili.
BRO WE TIZAMA MWENYEWE MUUNDO WA MKAPA STADIUM UNAFANANISHA NA UWANJA UPI HAPA EA!?
ACHA BANGI ZINA MADHARA.
yani ata wee mtumzima ukitumia hilo tuu lako vizuri, ni stadium gani hapa ina tesa zaidi kwa design.!??
na ujue kwamba yote inabeba pax sawa 60,000.!

ni hili
benjamin_mkapa_stadium02.jpg
tanzania_top-768x447.jpg
59729483c2e519b71637be4fb5c31b6a-768x512.jpg



ama hili
kasarani_stadium04.jpg
kasarani-1024x675.jpg
wdHWfpirHTkasaranidesr.jpg
 
yani ata wee mtumzima ukitumia hilo tuu lako vizuri, ni stadium gani inakaa vizuri zaidi.!??
na ujue kwamba yote inabeba spectators sawa 60,000.!

ni hili View attachment 2131681View attachment 2131678View attachment 2131677


ama hili View attachment 2131682View attachment 2131679View attachment 2131680
unakuwa na stadium ina ramps za Godown na umeezekwa mabati halafu paa linafunika VIP tu na linashikiliwa na metal poles halina viti vya kukaa, speakers za disco na inabidi ziletwe uwanjani! Huo ni uwanja au majukwaa ya kombe la mbuzi?
 
Naona kama tunaenda sawa sasa.tukienda kwenye best suburbs tuweke tano za dar na tano za Accra ndio unaweza ukaelewa kwann hawa jamaa wametuzidi...kitu kingine usisahau wamarekani wengi wanamigrate to Ghana na kuinvest huko..Hata number of remittances wanazotuma diaspora ni wapili chini ya Nigeria kwa Africa...izo pesa wanainvest na nk...

Sijui ni kwann watu humu wananitukana au kisa nimesimama na takwimu ...
View attachment 2131613
ingine ya pili pia leo maana ya gdp kubwa. nilikwambia The best 007 kua kenya itawakoboa kwenye kila takwimu itakayo wekwa humu, wewe unakaa hauskii yawah!.
 
Mwengine anakuambia huu mji unazidi Dar, ukimuambia unazidi vipi anakuletea vumbi, wallahi watz wengi tulikuwa na mawazo ya kimbwa sn mpk pale tulipokuja kuamshwa usingizini, ona vumbi hili ambalo baadhi ya watz wenye mawazo ya kimbwa wanakuambia vumbi hili linazidi DarView attachment 2131546
Ata me nashangaa unamkuta mtu yupo above 35 lakini akili yake kama mtoto wa class 6
 
Naona kama tunaenda sawa sasa.tukienda kwenye best suburbs tuweke tano za dar na tano za Accra ndio unaweza ukaelewa kwann hawa jamaa wametuzidi...kitu kingine usisahau wamarekani wengi wanamigrate to Ghana na kuinvest huko..Hata number of remittances wanazotuma diaspora ni wapili chini ya Nigeria kwa Africa...izo pesa wanainvest na nk...

Sijui ni kwann watu humu wananitukana au kisa nimesimama na takwimu ...
View attachment 2131613
Bado namuona Victor Oluwole,huyu jamaa ana miliki hicho ki-blog chake cha mchongo,kila kitu lazima aibebe Nigeria na Ghana.
Sema jina lake limekaa kijaluo sana nafikiri waigbo na wajaluo ni damu moja
 
Back
Top Bottom