The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Yani mji una ma slums everywhere na vimaendeleo katikati ya mji zen the most beautiful city in EA, ukimwambia huo uzuri uko wapi wanakuonesha apartments za upande upande 












































Pale Bakhresa pamependeza sn.umeona ehee ile diversion ya kwenda port na pale Bhakhresa yaani we acha tu!
Iyo kazi ingine wewe ndio utafute kwa muda wako sasa...kazi yangu nmeshamalizaTuonyesh kwa ground izo 38 bill ziko wapiiii...naona wamejeng amnaaa





Sasa tuonyeshe kuwa wametuzid ukianza n kamji kao hao...nilete km kana karibia hapa, biashara inayo fanyik hapa ...wacheni michezoooView attachment 2131365

kwahyoapo ndio unaona ndio kila kitu yaniKahamisha goli uyoUbishani ulikuwa ni Accra ss mbona unaweka Abidjan.









Mpumbavu yuleKahamisha goli uyo
wanaume kazi







































lol.....hadi nimecheka yangu yote..
kumbe tanganyika hakunanga shopping malls..!!??.
mzuri kujua hivyo leo
View attachment 2131379
kwani GDP ya kenya iko wapi zaidi ya kwenye karatasi au bado hujajifunza kupitia kwa jirani 😂😂😂😂 bro ww tatizo unaongea kwa mhemko mkubwa sana bila kua na information za kutoshaRich ya kwenye kalamu au karatasikazi kweli kweli sijui izo definition unazitoaga wap
Moderator hii inakaaje?
nesema Kunya ranking zinawaharibu akili.then why is kasarani always ranked highly than mkapa stadium, by ioc and fifa.!??.. because kenya will always remain a superpower in this eastern block!
Sasa kosa langu ni lipi hapo?na ubovu wao bado wametuzidi yani bado huna sababu ya kuchomoa.....kwani GDP ya kenya iko wapi zaidi ya kwenye karatasi au bado hujajifunza kupitia kwa jiranibro ww tatizo unaongea kwa mhemko mkubwa sana bila kua na information za kutosha
Mbona unakosea watu heshima au leo umeishiwa kabisa?siutume walau picha ya pipeline apartments

