Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwengine anakuambia huu mji unazidi Dar, ukimuambia unazidi vipi anakuletea vumbi, wallahi watz wengi tulikuwa na mawazo ya kimbwa sn mpk pale tulipokuja kuamshwa usingizini, ona vumbi hili ambalo baadhi ya watz wenye mawazo ya kimbwa wanakuambia vumbi hili linazidi Dar
JamiiForums-1336043391.jpg
 
Wakenya siwalaumu mana wao wapo humu kupambania ujinga wao tulioufuta, so mkunya yupo radhi kuisifia Accra mbele ya Dar japo anajua Hilo haliwezekani lkn lengo lake litimie kwamba Accra ikionekana nzr kuliko Dar basi Ka Nairobi kao kataonekana bora zaidi, yn hawajui kwamba km Accra itaizidi Dar basi Ka Nairobi mana ake ndiyo katakuwa kachoo kabisa
 
Yani wallahi nawaambia kwa jinsi ninavyoijua Dar alafu mtu anasema eti Accra imeizidi Dar kimaendeleo basi hiyo Accra itakuwa nusu ya Ulaya walahi japo picha za Accra haziwekwi humu na wala Sina muda mchafu wa kutafuta picha cz west Africa ninachokijua mm ni vumbi tu mwanzo mwisho, yn huwezi kuilinganisha miji ya west Africa na EA, wale West Africa wakizindua infrastructure au building utacheka yn building nzr lkn environment sorrounding that building utacheka mpk ufe
 
ndio maana
then why is kasarani always ranked highly than mkapa stadium, by ioc and fifa.!??.. because kenya will always remain a superpower in this eastern block!
nesema Kunya ranking zinawaharibu akili.
BRO WE TIZAMA MWENYEWE MUUNDO WA MKAPA STADIUM UNAFANANISHA NA UWANJA UPI HAPA EA!?
ACHA BANGI ZINA MADHARA.
 
Back
Top Bottom