Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

usilete picha za kuchora leta picha real!
Trassaco valley
EjzeP4PWoAApaWx.jpeg.jpg
 
Ilo mesema ww, mm nimewambia Hapo accra akuna hata cha kufananishia na kariakoo mind you ile ni international market, vipi CBD...ficheni izi aibu ndogo ndogo
Kwann unaona kariakoo ni big deal sana
 
CGR Tanzania
E60w3coXoAEsfil


VS

SGR Kunyaland
travel-kenya-1.jpg


Wakunya muachage kutuiga! Khaaa that's copy and paste! 50 years after mkalipa! gai-gai-gai...Atererere...!

I wish mngejua Tanzania inajenga nn 50 years after TAZARA!
kitu copy and paste
 
Najua nafam ww ni mtu wakushikilia data na kuziheshim lakin mda mwingine jaribu kuwa realistic
Naona kama tunaenda sawa sasa.tukienda kwenye best suburbs tuweke tano za dar na tano za Accra ndio unaweza ukaelewa kwann hawa jamaa wametuzidi...kitu kingine usisahau wamarekani wengi wanamigrate to Ghana na kuinvest huko..Hata number of remittances wanazotuma diaspora ni wapili chini ya Nigeria kwa Africa...izo pesa wanainvest na nk...

Sijui ni kwann watu humu wananitukana au kisa nimesimama na takwimu ...
Screenshot_20220226-104639_Samsung%20Internet.jpg
 
Back
Top Bottom