The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Bandari ya Mombasa kupigwa BAO na Tanga Port,Mambo mazuri yanakuja kwa Tzn 🙏🙏
Kwa kinacho endelea kwa sasa sahau sisi kushuka kwa top ten, mda mwingine beberu zinapenda kulambwa ndio zikupe namba watakazoo,tazama tu izo sijui misadaa wanajifanya kutupa sita shangaaa GDP yetu mwaka huu ikafika 75-80 billions...lakin kiualisia sisi tuko close na 100b, inachekesha sanaa kwa miradi tuliyonfanya ndani ya 5 yrs bado wakaiwek GDP around 65, tena kama unakumbuka kukatokea mkanganyika kati ya serikali na IMF thidi ya ukuaji wa uchumi wao wakidai tuko around 4% wakat serikal ikisem tuko 5.5% wakiw pamoja AFDB , aibu iliwashika wakabadil tena kuwa 5%Hapo kwa Ghana hata mimi huwa nashangaa wamewashinda vipi kwenye gdp. Accra imeparara sana ukiiona unaweza cheka. Anyway, kwa sasa inasemekana wamewashinda kwa gdp. Hata Ivory coast ipo karibu kuwachapa. Kazeni kamba msijikute mumetolewa nje ya top 10 Afrika.

apo ndio town?balaa tupuSiyo jkt tu bali jeshi lote jwtz pia na magereza na wafugwa watumike hiyo ndiyo maana ya matumizi bora ya human resourceJKT wangepewa tenda hata za kufanya plan za nyumba zetu zilizojengwa kiholela ingekuewa poa sana. Wangefanya kwa awamu kubomoa na kujenga upya kama walivyofanya nyumba za magomeni kota ingekuwa safi sana.
Bora kabisa kuliko lodwar,onyesha nyumba za huko Lodwar tuone.apo ndio town?balaa tupu
Hii yote ni Mwanza mzee na hizi nyumba zote zipo huko milimani kwenye majabaliKwa hiyo middle income earners wanaweza kwenda ishi huko kwenye uswazi? Wewe unaweza enda kujenga sehemu kama hiyo?
Mimi Niko interested na kule uswazi,video ingepita huku wala nisingepata shida,Hawa ni wenye nazo so huwa wanajipanga wenyewe automatically.Hii yote ni Mwanza mzee na hizi nyumba zote zipo huko milimani kwenye majabali
View attachment 2129310
View attachment 2129311
View attachment 2129312
View attachment 2129313
View attachment 2129314
View attachment 2129315
Uchumi unaweza hata kuangalia miji tu na maisha ya watu wake ,wewe itskuwa uijui ghana hata uganda na rwanda ipo vizuri kushinda ghanaGhana inatushinda kwani tz inauchumi gani wa maana?
The same dispersed settlement ni design na finishing za nyumba ndio tofauti.Mimi Niko interested na kule uswazi,video ingepita huku wala nisingepata shida,Hawa ni wenye nazo so huwa wanajipanga wenyewe automatically.
sasa mbona unajilinganisha kwenye suala la locomotives au unafikiria tutaingia mkenge na kuenda spain kununua used locomotives? BTW KDF and Kenya police hununua ndege mitumba kila siku!Kenya imenunua ndege gani mtumba, stop being delusional
Sawa ni washenzi so mtamfanya nini??Mimi namuunga mkono Balozi, Russia na Putin ni washenzi wakubwa.





Kwani hao Ghana wanauchumi gani?Ghana inatushinda kwani tz inauchumi gani wa maana?
Yaani ni corruption Kwa kwenda mbele,alafu utasikia,elimu ya Kenya iko juu kuliko Tanzania 🇹🇿🚮Mnaona Madhara ya kutumia matofali badala ya MSE Walls kujenga pillars za structures! Overpasses and interchanges hizo zinameguka na kuenda kama uyoga! Hivi nyie zero percent brain kuna kitu gani mnajua?
CC: Teargas, Tony254, komora096 , NairobiWalker, KENPAULITE n KANAIRO
HDI ipo juu...🤣🤣🤣Yaani ni corruption Kwa kwenda mbele,alafu utasikia,elimu ya Kenya iko juu kuliko Tanzania 🇹🇿🚮