Kweli kabisa uyo , dhalim akafanya mambo ya ajabu sana, SGR,kuamisha rasmi serikali kwenda Dodoma,kuongeza mapato , kupinga unyonyaji,kusaidia kupunguz gap between rich and poor, for a first time umeme haukua nightmare,kurudisha treni ya zaman iliya simama for years( dar-Arusha),build ships, bridges,kupanua bandari mbalimbali na kuanza kujenga mpya,elimu bure,control price fluctuation,bus termina in all rigions,town roads,sign ni law to protect our natural resources especially minerals,..alafu kuna kenge ziko apa kuponda
Nilijua mafii inakaa tumboni , kwa mara ya kwanza nimeyana kichwani
