Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,885
- 103,752
Umejisahau vp nyie mnaendeleaje?Wabongo kubalini tu kwamba Wanigeria wamewapiga kwenye mziki na mbali. Wimbo huu umehit sana duniani, sio Afrika tu.
kuna toll gate pia?
Lakini mimi nikiona mtu anajipendekeza kwangu kiasi yenye Watanzania hujipendekeza kwa Afrika kusini ataanza kuniboo. 🤣🤣Unajuwa siyo haki kuhukumu watu wote kwa makosa ya kiongozi ila viongozi wanauwezo mkubwa sana wa kuwajenga kifikra raia wao.
Wakenya wengi zile fikra zao za umimi, ujuwaji, unyama na kujipendekeza kwa wakoloni wao, zilitoka kwa Kenyatta. Na athari zake zipo mpaka leo.
Vivyo hivyo na sisi watanzania, wengi wetu tuna zile fikra za kujishusha, kujali wengine, kuwa na utu, kama vile alivyokuwa Mwalimu.
Sisi tunajipendekeza kwa Afrika kusini si nyinnyii humu ndani mko mnangàngània kuingia visa free SA?Lakini mimi nikiona mtu anajipendekeza kwangu kiasi yenye Watanzania hujipendekeza kwa Afrika kusini ataanza kuniboo. 🤣🤣
Hehehe, hatujipendekezi kwa Africa kusini kama nyinyi. Anayetaka kwenda Afrika Kusini kwa shughuli zake ataenda kama tu nchi zingine na kawaida, wasafiri hutamani kuingia wanakotaka kuenda kiurahishi so lazima kila msafiri atataka kuingia anakotaka Visa-free. Sio Afrika kusini tu bali kila nchi. Tusichofanya ni kujipendekeza kwao, hiyo ujinga tumeachia Tanzania.Sisi tunajipendekeza kwa Afrika kusini si nyinnyii humu ndani mko mnangàngània kuingia visa free SA?
Kama kawaida Kenya lazima iwakilishe East and Central Africa region. 🇰🇪💪
Hii haina comeback🤣🤣Kwn tz watu wanaishi stendi na kwenye majengo ya serekali
Manake hko ndio hu post sana
Sumbawanga 12th biggest town in TZ. Hii ni kijiji walai.
Hakuna Mkenya mwenye akili anayeweza kulinganisha Mwanza na Mombasa. Mombasa hulinganishwa na Dar.Hii ndio huwa mnailinganisha na Mwanza?