Yaani Kunyaland hamnaga barabara isiyo na flaws kama si kukosa demarcation basi hamna sidewalks! kidogo niwasifu mpaka nilipogundua barabara hii haina outerflanks/walkways! Mkunya ni Mkunya hawezi ona kasoro!
Umemchana vizuri huyu mpuuzi!Punguza ujinga, huu ujinga wenu wa kusema Mambo ya uongo bila ushahidi Peleka huko Kibera, Tanzania tunakula mahindi na mchele mwingi kuliko ninyi wakenya, Tanzania kwa mwaka tunazalisha 7M tonnes of maize, 90% tunatumia wenyewe, Kenya mnazalisha "only 3M tonnes of maize.
Kwn tz watu wanaishi stendi na kwenye majengo ya serekali
Manake hko ndio hu post sana




















Sie hatujawahi kujilinganisha kimziki na Wanigeria, hahaha. Sie tulishakubali zamani kwamba tumeshindwa. Nyie ndio bado mnajishebedua. Mnaleta ligi na wao. Ila wamewapiga vibaya.Umejisahau vp nyie mnaendeleaje?
Kuna $ 153.8 Billions ambazo TRA haijazikusanya, now tungekua na $ 222 B na ushee. Tunafeli sana
Hivi nyinyi wakunya mnapata wapi ujasiri wa kusifia hiyo njia ya juu

maana ni aibu kwenu.Sisi tupo juu ya nigeria ,sababu tunatumia kiswahili ila tupo juu nigeria wanatumia English...tumia akili kujua logic yanguSie hatujawahi kujilinganisha kimziki na Wanigeria, hahaha. Sie tulishakubali zamani kwamba tumeshindwa. Nyie ndio bado mnajishebedua. Mnaleta ligi na wao. Ila wamewapiga vibaya.
Kitu konki hikiSie hatujawahi kujilinganisha kimziki na Wanigeria, hahaha. Sie tulishakubali zamani kwamba tumeshindwa. Nyie ndio bado mnajishebedua. Mnaleta ligi na wao. Ila wamewapiga vibaya.

siyo ile barabara ya kichina ya kikoloni kwenye nchi ya maslumist

Watu wa majigambo na kupenda kujisifia, wajinga Sana Hawa jamaaUmemchana vizuri huyu mpuuzi!