The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Huyo ni chizi 😂😂
The 12th biggest town in Tanzania inafanana kijiji. 😂😂😂🤣🤣🤣
Wakunya huwa wananichekesha sn yani watapost kote ila wakifika Turkana wanapost roadHuyo ni chizi![]()










Kijiji eeehhhhThe 12th biggest town in Tanzania inafanana kijiji.![]()















Kijiji hii. 😂😂😂 Towns zenu hazina modernity hata kidogo.
Kakwambia nani kama SUMBAWANGA ni ya 12.? au umetoe wewe tu hiyo hadhi 😂😂😂The 12th biggest town in Tanzania inafanana kijiji. 😂😂😂🤣🤣🤣
😂😂😂 Mbona unalazimisha Vitu.? 😂😂 Nani kakwambia hiyo ni town...? hakuna hadhi ya town hapo bruhKijiji hii. 😂😂😂 Towns zenu hazina modernity hata kidogo.
Kaiogopa SumbawangaKakwambia nani kama SUMBAWANGA ni ya 12.? au umetoe wewe tu hiyo hadhi![]()





Heb ngoja nimuumize moyo kabisa 😂😂Kaiogopa Sumbawanga![]()
Simu yangu yenye zile picha imepasuka kioo, km sivyo ningeshaitag muone jinsi jamaa walivyo hawana akili![]()
Naona umeiogopa Sumbawanga, alafu ckia kabla utaje Sumbawanga kumbuka kuna miji ifuatayoSumbawanga 12th biggest town in TZ. Hii ni kijiji walai.







TaboraNaona umeiogopa Sumbawanga, alafu ckia kabla utaje Sumbawanga kumbuka kuna miji ifuatayo
Tanga
Arusha
Kagera
Iringa
Mbeya
Pwani
Shinyanga
Kilimanjaro
Morogoro
Zanzibar
Mwanza
Tabora
Dodoma
Sasa hiyo namba 12 ya Sumbawanga umeitoa wapi? Yani hyo miji niliyokutajia hapo juu yote imekucha, na ndiyo maana huwa tunawaambia Tz imeendelea kuliko Kenya, ukibisha na wewe weka miji 13 ya kushindana na hiyo niliyoitaja hapo juu![]()
Tz kuna miji mingi imeendelea kuliko Kenya huo ndio ukweli hata wakilia.Tabora
Musoma (ndio capital ya Mara region ambapo Sumbawanga nayo inapatikana)
Singida
Bukoba
Kahama
mvua ya maana ikikandamiza hapo kwa down tunapata swimming poolYani wamechimba chimba cjui wamechimba nn, ka barabara kanakoenda kukutana na hiyo mitaro waliyochimba ni kembamba, huku pembeni shimo, katikati shimo, kulia shimo, kushoto shimo, I bet engineers ni wakunyaView attachment 2122688
Pwani town ndio gani?😅😂Naona umeiogopa Sumbawanga, alafu ckia kabla utaje Sumbawanga kumbuka kuna miji ifuatayo
Tanga
Arusha
Kagera
Iringa
Mbeya
Pwani
Shinyanga
Kilimanjaro
Morogoro
Zanzibar
Mwanza
Tabora
Dodoma
Sasa hiyo namba 12 ya Sumbawanga umeitoa wapi? Yani hyo miji niliyokutajia hapo juu yote imekucha, na ndiyo maana huwa tunawaambia Tz imeendelea kuliko Kenya, ukibisha na wewe weka miji 13 ya kushindana na hiyo niliyoitaja hapo juu![]()