Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

GDP za Nchi za Kiafrika Including Kenya😁😁👇👇

Screenshot_20220215-222859.png
 
View attachment 2120609
Kwa utaratibu huu hizi refineries zitakuja kufa halafu tuanze kuzitafutia wawekezaji
Hii inchi bila kua na viongozi madhubuti, wenye uchungu na inchi na wenye kusimamia maslai ya inchi hakuna kitu...why transport Gold kwenda Dubai for refinery while tunazo refinery local...hii ni kinyume kabisa na malengo ya kuanzishwa kwa hizi refinery...kwann tunapenda sana biashara ya Umachinga?
Tunaenda mbele hatuna 5 tunarudi nyuma hatua 10.
 
Vita ya kiuchumi ni ngumu sana na inahitaji mtu jasiri na mwenye maono makubwa ya nchi yake. Tusubiri labda huko mbeleni tunaweza kumpta mwingine. Huyu mama anatafuta wawekezaji bila dira yoyote inayoeleweka. Na asipoangalia wapigaji watamzidi kete mara mia maana nao wana mbinu nyingi sana.
 
Mwanaume mzima na makende mbili unashinda ukipost video za mumama akijibamba na umama wake? Uko na umama hata kumshinda.🚮🚮

Acha wivu jamaa yangu, weee kuna mwanamume yeyote ambaye yuko kamili atachindwa kuvutiwa na yule mwanamke. Yule kaumbika bana. 😛 😛 😛
Halafu tangu nizaliwe sijawahi kuona chombo kama kile kutoka kenya. Kile ni kitu, yaani ingewezekana tukichukue kikale raha za bongo. Nyie huko mnakichosha tu kiumbe cha watu.
😛 😛 😛
 
Back
Top Bottom