NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 17,008
- 19,180
Without loans, there is no Kenya. Kama ilivyokua kanuni Yao wakati wa mapambano ya Corona, "Pima, Pima, Pima, Pima , Pima ....................walilipa kwa hela za mkopo lakini! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya Mambo huku Tanzania yalikwisha zamani Sana, kumbe wenzetu ndio yanaingia Sasa hivi, kweli tumepishana kwa mbali Sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi mzee ...?whats your view[emoji2955]
Hiki ni nini.?
3 & 4 zinaweza fanyika pamoja.Kwahyo BRT phase 1 ✅ phase 2 ✅ na phase 3,4 & 5 pesa tayari ipo bado ujenzi tu.?
Unaanza lini.?3 & 4 zinaweza fanyika pamoja.
kila kitu kinabaki na rangi yake , ndio uzuri wake 😎.Morocco 👇..ila hii mitaa ni mizuri jamani loh.!! View attachment 2121093View attachment 2121094. Cc Walker255
YeahKwahyo BRT phase 1 [emoji736] phase 2 [emoji736] na phase 3,4 & 5 pesa tayari ipo bado ujenzi tu.?