NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,388
- 17,969
Without loans, there is no Kenya. Kama ilivyokua kanuni Yao wakati wa mapambano ya Corona, "Pima, Pima, Pima, Pima , Pima ....................walilipa kwa hela za mkopo lakini!![]()






Haya Mambo huku Tanzania yalikwisha zamani Sana, kumbe wenzetu ndio yanaingia Sasa hivi, kweli tumepishana kwa mbali Sana



Vipi mzee ...?whats your view
Hiki ni nini.?
3 & 4 zinaweza fanyika pamoja.Kwahyo BRT phase 1 ✅ phase 2 ✅ na phase 3,4 & 5 pesa tayari ipo bado ujenzi tu.?
Unaanza lini.?3 & 4 zinaweza fanyika pamoja.
kila kitu kinabaki na rangi yake , ndio uzuri wake 😎.Morocco 👇..ila hii mitaa ni mizuri jamani loh.!! View attachment 2121093View attachment 2121094. Cc Walker255
YeahKwahyo BRT phase 1phase 2
na phase 3,4 & 5 pesa tayari ipo bado ujenzi tu.?