Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Seems like there is digging for pillars , May be an over pass

IMG_4455.jpg

IMG_4456.jpg

IMG_4457.jpg

IMG_4458.jpg
 
Onesha BRT aliyojenga mlevi uhuru
Onesha cable stayed bridge aliyojenga mlevi Uhuru

Onesha electrifitried SGR aliyojenga mlevi Uhuru

Onesha mji mpya kama Dodoma aliojenga mlevi Uhuru

Onesha Airpot aliyojenga mlevi Uhuru

Onesha 3 tier interchange aliyojenga mlevi Uhuru

Onesha big ship aliyojenga mlevi Uhuru
Bus terminals je?
 
Bus terminals je?
Huku hawatakagi tuwalete, kitu wakiwa hawana huwa wanasema hawakihitaji but rumors zikiibuka kuhusu hicho kitu kujengwa huko kwao utaona wanapost picha kwa kelele nyingi humu kama walivyofanya kwenye BRT

Walikuwa wakisema hawahitaji BRT suddenly Mr. Overworking akawaonesha kituo cha kufuga mbwa wakadhani ni BRT station, majinga kweli haya majitu, ss hiki kituo cha kufuga mbwa ndio BRT station
Screenshot_20220114-071957.jpg
 
Sasa ni mtanzania gani anafatilia chochote cha kunyaland? Si mziki si movies si influencers, hakuna mtanzania mwenye muda na kunyaland ndio maana hampo popular huku, nitajie msanii wenu anaejulikana Tanzania! Mara ya mwisho msanii wenu kufanya performance huku ni lini?
Hata wanasiasa wao hatuwajui ila wao wanawajua mpk wapishi wa Rais.
 
Huku hawatakagi tuwalete, kitu wakiwa hawana huwa wanasema hawakihitaji but rumors zikiibuka kuhusu hicho kitu kujengwa huko kwao utaona wanapost picha kwa kelele nyingi humu kama walivyofanya kwenye BRT

Walikuwa wakisema hawahitaji BRT suddenly Mr. Overworking akawaonesha kituo cha kufuga mbwa wakadhani ni BRT station, majinga kweli haya majitu, ss hiki kituo cha kufuga mbwa ndio BRT station View attachment 2110086
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mr overworking mwenyewe ndio huyu?
vKVidos4_400x400.jpg


BRT watausikia kwenye Bomba sababu wana madeni mpaka matakoni na hawakopesheki tena, sasa watajenga BRT na nini? 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom