Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huku hawatakagi tuwalete, kitu wakiwa hawana huwa wanasema hawakihitaji but rumors zikiibuka kuhusu hicho kitu kujengwa huko kwao utaona wanapost picha kwa kelele nyingi humu kama walivyofanya kwenye BRT

Walikuwa wakisema hawahitaji BRT suddenly Mr. Overworking akawaonesha kituo cha kufuga mbwa wakadhani ni BRT station, majinga kweli haya majitu, ss hiki kituo cha kufuga mbwa ndio BRT station View attachment 2110086
Hii ilivyokaa wazee wata-cross barabarani!
 
Watanzania kwenye ubora wao 🙌🙌🙌

FK5A5URXIAAMcHF.jpeg
 
Black Americans were lured by magufuli about how tz was quite something until wakafika kwa ground and took off from that shithole tz is one country that a sharp person should not settle for.......a very backward society View attachment 2109734View attachment 2109735View attachment 2109737View attachment 2109738View attachment 2109739View attachment 2109740View attachment 2109742View attachment 2109743
Hao wanataka ardhi yetu ,serikali imeweka mfumo mgumu kumiliki ndiyo sababu wanalia
 




MY TAKE
IN Kunyaland hamna bridge unaweza kufanya a bridge over a bridge yoga! Its only in Tanzania this possibility exists!


This Bridge replaced gym sessions to many People. Kila siku jioni natembea juu ya hili daraja hadi Ocean road na na rudi hadi maeneo ya Coco, nakua nishakanyaga Kilometer kadhaa mwili unakua mwepesi kabisa
 
Back
Top Bottom