Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha kuchanganya Mambo, hao wapelelezi sio wenye maamuzi ya kuwafunga au kuwaachia watu, hao kazi Yao ni kuwakamata suspects na baadae kufanya upekekezi Kama hao suspects kweli ni wahusika au hapana. Hizo siku Saba ni siku za kuwakamata suspects, sio siku za kufanya upelelezi na kuamua Kama ni wahusika kweli au hapana.

Mkuu kumbuka kwamba, baada ya tukio, uwezekano wa kuwakamata watuhumiwa ndani ya wiki ya kwanza ni 95%, baada ya kupita wiki ya kwanza, uwezekano unashuka Sana, hata chini ya 60%

Ni jukumu la serikali kusimamia vyombo vyake vya Dola kuwajibika kwa wananchi, endapo vitashindwa kuwajibika kwa wakati, lazima waviwajibishe kwa kutowajibika, kubambikiza kesi ni sehemu ya kutowajibika ipasavyo, pia ni kosa sawa na kutowajibika kwa wakati, lazima wahusika wawajibishwe Kama watafanya hivyo.

Mkuu, viongozi wakiwajibika tunapiga kelele, wakitulia na kuacha Mambo yajiendeshe hovyohovyo bila usimamizi pia tunapiga kelele. Sasa wewe ulitaka aseme kuwa "ninawapa matumaini na kuwatia Moyo?", Kwahiyo hizo kauli alizozisema kwamba ndani ya wiki Moja lazima wahusika wakamatwe, unadhani zimewatia Moyo au kuwavunja Moyo familia?
Tatizo la Tanzania ni kuwa taasisi za serikali ni mbovu na corrupt. Pia justice system ni vile vile. Wapelelezi hadi wasubiri kauli ya makamu wa Rais Ndio wafanye kazi yao?

Hata kama probability ya kuwakamata suspects ni 100% within this week, kama suspects sio the actual culprits, bado kesi itazidi kuchukua muda kutatuliwa. Huwezi kwenda barabarani tu na kuanza ku-arrest people na Kuwaita suspects! You need to arrive to a conclusion that links the suspects to the crime, and this is only possible if and only if the detectives do their job Kwa muda wa kutosha. Sio kuwa forced kukamata watu within a week!

Na pia hoja yako ya kuwa wapelelezi wawajibishwe Kwa kutowajibika, unadhani Adhabu yao iwe nini? Mfumo wa kutengeneza polisi ni ovyo na corrupt, unategemea iwajibikaji utaanza lini?
 
nimecheka sana kuna zezeta mmoja eti anajisifu kunyaland kuna upinzani, anashindwa hata kuelewa raila alishahudumu sana serikalini mpaka akawa prime minister na sasa anashirikiana na serikali kuingia ikulu naye mazezete yanaamini ni mpinzani, kibaki aliwahi kuwa vice president wakati wa kenyata baba naye yanamwita raisi wa kwanza mpinzani, huyu mlevi uhuru aliwahi kugombea chama kilichokuwa kinatawala kanu akashindwa, akaanzisha Chama cha upinzani akiungwa mkono na musalia, kibaki na moi aliposhinda naye anaitwa mpinzani, ruto-makamu wa raisi leo wanamwita mpinzani mwenye fikra mpya. kunyaland ni zaidi ya uharo
Umeelezea vizuri sana, wana briefcase parties 😅😅😅 Yaani vyama vyao kama diapers vile time yoyote unaivua na time yoyote unapata mpya, kinachomatter ni kabila lako tu na vipi upo close na outgoing goon ili akurithishe mikoba ya kukoboa mali za mazezeta, ndio maana deni la kunyaland ni $106B huku GDP ni $97B lakini hakuna chochote kinachoendelea, nchi ya kifala sana 🚮
 
So? Bill Gates has a private Island and UAE royals have lodges too! Branson wants to buy a private island too!


Unashangaa nini? Mbona pia Wana vitalu vyao private kwenye hifadhi mbalimbali na hakuna watu wengine wanaruhusiwa kuingia na wako leased kwa miaka 15,30 nk..

Pili Anold Stwazniger ana kisiwa kama hicho Ziwa Tanganyika (Rukwa) kajenga na hotel ya Kitalii miaka mingi tuu na huwa analeta wageni wake kwa ndege za kukodi.

Huu ni uwekezaji kama uwekezaji mwingine.
 
Hakuna nchi yoyote inapenda habari mbaya. Hatujasema hakuna matukio Tanzania, kwasabu hata New Zealand ambayo inaongoza kwa Amani duniani, mwaka juzi zaidi ya watu 30 waliuliwa kufuatia mashambulizi ya kigaidi.

Mambo Kama haya ni "Breaking News" kwa Tanzania, lakini Kenya ni "daily events" na serikali ya Kenya Wala wananchi wa Kenya hawastuki kabisa.
Kwa hiyo lengo lako ni kushindana na kenya kwenye crime? Kwamba safety Tanzania ni bora zaidi? Shame on you. Uzuri Kenya kuna media freedom Ndio Maana unadhani kwao crime reports are a daily thing. lakini huku kwetu ambapo media zimebanwa kuna wakati miili ilikuwa inapatikana kwenye fukwe na hakuna habari yoyote kwenye hii nchi iliyotoa hizi reports.

Uhalifu unazidi kuongezeka kila kukicha, and god knows how many more crimes go unreported. Domestic violence Ndio inayokua Kwa kasi zaidi nchini. Wapenzi wanauana, watoto wanaua wazazi nk.

Kitu cha muhimu ni kujiuliza ni jinsi gani hizi crimes zinaweza kupunguzwa. Na pia jeshi la polisi linafanyaje kuhakikisha raia na mali zao zinalindwa.
 
Population growth ina outstrip GDP growth, fiscal deficits are gapping wide, loan to GDP ratio mtihani, economic tolerance majanga, bludgeoning budget out of control. Economic cycle ndio imefikia peak subiria bust then muanze upya na cycle ingine.

Hizo ndio intellectual facts zangu ambazo zina ni convince sasa wewe leta zako zinazo prove otherwise.
This is not intellectual but it will be called rubbish in the world of academia., mentioning economic terms merely to sound fancy and yet without proper understanding of the dynamics makes u look like an academic idiot, otherwise u would have substantiated your argument with credible examples, employing contextual interpretation of any available data., let me assume your argument is hypothetical, kindly subject the same measure to Tanzanian economy., what will you find? worse!.., it will expose your poverty which you deny here yet it is screaming all over.., inability by your gov't to even secure a substantial loan is almost becoming a complex puzzle coz your credit rating sucks, which is due to your weak economy and your inability to pay loans, lazima msamehewe, uchumi ni hafifu.
 
WHAT DO YOU MEAN BY SPACE? THE SPACE HAS ALWAYS BEEN THERE BUT YOU GUYS ARE NOT GROWING..AT LEAST YOU ARE NOT COMING ANYWHERE CLOSE TO WHERE KENYA IS ECONOMICALLY.
AND DO YOU KNOW THE PROJECTIONS ARE SHOWING THAT TANZANIAS GDP IS GOING TO SHRINK FROM 69 BILLION $ TO 62 BILLION $ IN 2022/2023...
WHILE KENYA IS GOING TO INCREASE FROM 104 BILLION $ TO 107 BILLION $ . RESPECT OUR BRAINS YOU TANZANIANS.
Use your brain and argue by facts that are internationally understood rather than basing your arguments from cheap peripheral blogs.
 
I told them the other day that crime rate in Tanzania is increasing rapidly. Juzi hapa polisi wameua mtu na kuchukua pesa zake. Hawa ni law enforcement wanaotakiwa kulinda Raia na Mali zao Ndio wamebadilika kuwa criminals! But as usual, waTZ hawapendi habari mbaya. Heri wazifukie zisionekane hapa.
Hapo kwa polisi is same here and even in Uganda have seen such., my guess is the tough economic conditions, wakipata mahali pa kukulia they don't hesitate, so sad.
 
Hakuna nchi yoyote inapenda habari mbaya. Hatujasema hakuna matukio Tanzania, kwasabu hata New Zealand ambayo inaongoza kwa Amani duniani, mwaka juzi zaidi ya watu 30 waliuliwa kufuatia mashambulizi ya kigaidi.

Mambo Kama haya ni "Breaking News" kwa Tanzania, lakini Kenya ni "daily events" na serikali ya Kenya Wala wananchi wa Kenya hawastuki kabisa.
Unajitetea sana as if I have never watched your news, jikubalini mnapenda kujikweza na mna angamia pole pole 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Maumivu, vumilia miaka ishirini na Tano sio mingi, tutajadiliana mkifika pale.., kwa sasa ni paka(Kenya) anacheza na panya(Tz) humu akijienjoy tu..., Mko down whether u want to see it or not..,mtajitia hamnazo, mtajiliwaza na kujifariji but numbers won't lie

#revenue
Sasa kati ya Tom (Paka) na Jerry (Panya) nani anatumia akili na kufanikiwa sana? Nijibu hilo haraka ili niondoke Jamii Forum nifute na account.
 
Kwa hiyo lengo lako ni kushindana na kenya kwenye crime? Kwamba safety Tanzania ni bora zaidi? Shame on you. Uzuri Kenya kuna media freedom Ndio Maana unadhani kwao crime reports area a daily thing. lakini huku kwetu ambapo media zimebanwa kuna wakati miili ilikuwa inapatikana kwenye fukwe na hakuna habari yoyote kwenye hii nchi iliyotoa hizi reports.

Uhalifu unazidi kuongezeka kila kukicha, and god knows how many more crimes go unreported. Domestic violence Ndio inayokua Kwa kasi zaidi nchini. Wapenzi wanauana, watoto wanaua wazazi nk.

Kitu cha muhimu ni kujiuliza ni jinsi gani hizi crimes zinaweza kupunguzwa. Na pia jeshi la polisi linafanyaje kuhakikisha raia na mali zao zinalindwa.
The moment Africa we become open and accept our weaknesses, it will become easy to sort them out, but watu wakiendelea kuishi in denial hawasongi mbele kwasababu hawatatui kinachowauma. Good response there, very objective.
 
Sasa kati ya Tom (Paka) na Jerry (Panya) nani anatumia akili na kufanikiwa sana? Nijibu hilo haraka ili niondoke Jamii Forum nifute na account.
Sijaongelea cartoon(vibonzo), nimekupa mfano wa paka(Kenya|) kamili anapo kamata panya(Tz), how it plays around with it before chewing it up, hauwezi epuka huu ukweli, inauma najua 😂 😂 😂 😂 😂
 
Tatizo la Tanzania ni kuwa taasisi za serikali ni mbovu na corrupt. Pia justice system ni vile vile. Wapelelezi hadi wasubiri kauli ya makamu wa Rais Ndio wafanye kazi yao?

Hata kama probability ya kuwakamata suspects ni 100% within this week, kama suspects sio the actual culprits, bado kesi itazidi kuchukua muda kutatuliwa. Huwezi kwenda barabarani tu na kuanza ku-arrest people na Kuwaita suspects! You need to arrive to a conclusion that links the suspects to the crime, and this is only possible if and only if the detectives do their job Kwa muda wa kutosha. Sio kuwa forced kukamata watu within a week!

Na pia hoja yako ya kuwa wapelelezi wawajibishwe Kwa kutowajibika, unadhani Adhabu yao iwe nini? Mfumo wa kutengeneza polisi ni ovyo na corrupt, unategemea iwajibikaji utaanza lini?
Wewe ndio ni shida na ni miongoni mwa watu wenye kupenda kutoa lawama bila kuwa na uwelewa wa Mambo, Sasa Kama umeshajua kwamba uwezekano wa kuwakamata watuhumiwa ndani ya wiki Moja ni 95%, ulitaka huyo makamo wa rais atoe siku ngapi, mwezi, mwaka au asitoe deadline?, Sasa atafuatiliaje utendaji wa kazi Kama hakuna "time frame?".

Kaka punguza ukosoaji usiokua wa lazima, sio kila eneo unaweza kulikosoa, maeneo ambayo huna weledi nayo ni Bora ukae kimya.

Kuna njia nyingi za kuwajibishwa kwa wapelelezi wanaposhindwa kuwajibika kwa wakati, ikiwemo kuwahamisha vitengo, kutoka katika upelezi kuwa askari wa kawaida, kumshusha cheo, kutopandishwa cheo, barua za onyo na kumsimamisha kazi kwa muda.

Ni kweli kwamba Kuna maaneo bado hatupo vizuri, ikiwemo hilo la upelelezi kuchukua muda mrefu, Jambo la kushangaza ni kwamba, viongozi wanapojaribu kuchukua hatua ili kurekebisha hayo mapungufu, tayari wajuaji wanajitokeza kupinga kila juhudi zinazofanyika
 
Wewe ndio ni shida na ni miongoni mwa watu wenye kupenda kutoa lawama bila kuwa na uwelewa wa Mambo, Sasa Kama umeshajua kwamba uwezekano wa kuwakamata watuhumiwa ndani ya wiki Moja ni 95%, ulitaka huyo makamo wa rais atoe siku ngapi, mwezi, mwaka au asitoe deadline?, Sasa atafuatiliaje utendaji wa kazi Kama hakuna "time frame?".

Kaka punguza ukosoaji usiokua wa lazima, sio kila eneo unaweza kulikosoa, maeneo ambayo huna weledi nayo ni Bora ukae kimya.

Kuna njia nyingi za kuwajibishwa kwa wapelelezi wanaposhindwa kuwajibika kwa wakati, ikiwemo kuwahamisha vitengo, kutoka katika upelezi kuwa askari wa kawaida, kumshusha cheo, kutopandishwa cheo, barua za onyo na kumsimamisha kazi kwa muda.

Ni kweli kwamba Kuna maaneo bado hatupo vizuri, ikiwemo hilo la upelelezi kuchukua muda mrefu, Jambo la kushangaza ni kwamba, viongozi wanapojaribu kuchukua hatua ili kurekebisha hayo mapungufu, tayari wajuaji wanajitokeza kupinga kila juhudi zinazofanyika
Haupendi ukweli, unataka muonekane mnaishi binguni, pole bro, vumilia wacha kujitetea sana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Wewe ndio ni shida na ni miongoni mwa watu wenye kupenda kutoa lawama bila kuwa na uwelewa wa Mambo, Sasa Kama umeshajua kwamba uwezekano wa kuwakamata watuhumiwa ndani ya wiki Moja ni 95%, ulitaka huyo makamo wa rais atoe siku ngapi, mwezi, mwaka au asitoe deadline?, Sasa atafuatiliaje utendaji wa kazi Kama hakuna "time frame?".

Kaka punguza ukosoaji usiokua wa lazima, sio kila eneo unaweza kulikosoa, maeneo ambayo huna weledi nayo ni Bora ukae kimya.

Kuna njia nyingi za kuwajibishwa kwa wapelelezi wanaposhindwa kuwajibika kwa wakati, ikiwemo kuwahamisha vitengo, kutoka katika upelezi kuwa askari wa kawaida, kumshusha cheo, kutopandishwa cheo, barua za onyo na kumsimamisha kazi kwa muda.

Ni kweli kwamba Kuna maaneo bado hatupo vizuri, ikiwemo hilo la upelelezi kuchukua muda mrefu, Jambo la kushangaza ni kwamba, viongozi wanapojaribu kuchukua hatua ili kurekebisha hayo mapungufu, tayari wajuaji wanajitokeza kupinga kila juhudi zinazofanyika
Lawama nitatoa kokote ninapopenda. Si wewe wala mtu yeyote Yule wa kunizuia kwasababu freedom of speech ninayo. Utendaji wa kazi utafanyika vizuri tu pale detectives wenye weledi na wanaojulikana kufanya kazi vizuri wakiwa-assigned hii kesi! Sio kupewa deadline! Deadline inasaidia nini kama hata suspects watakaokamatwa hawahusiki na uhalifu uliotokea? Ukiwapeleka mahakamani and they end up walking free unarudi square one na unaonekana mjinga.

Na unasema kuwa adhabu ya wapelelezi wasipopata hawa suspects within the given time frame ni kushushwa cheo? Hivi kweli unafikiria kitu unachokiandika?
 
Back
Top Bottom