chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,673
- 45,902
Nchi ambayo huyu jamaa kakopa $106B na bado mnakufa njaa na kuomba msaada wa chakula? 🤔He was the best according to Tanzanian standards. Si mlikua mnamsifu kama mungu mtu hapa wakati alikua uhai?
Angekua Mkenya, magufuli hangekiona kiti cha urais au kiti chochote cha maana. He was too naive to lead a country like Kenya.
Kenya hata kichaa anaweza kuongoza, kikubwa awe kabila maarufu na aweze kuwadanganya ninyi mazezeta.