Kenya Kuna media freedom?, Hivi Kati ya Kenya na Tanzania ipi ipo na demokrasia zaidi kwa mujibu wa viwango vya dunia?, Sasa Kama Tanzania imeizidi Kenya katika demokrasia vipi Kenya iwe na media freedom kuizidi Tanzania?
Hao wakenya ndio wanaolinganisha crime rate ya TZ na Kenya ndio sababu tunalinganisha, Sasa wewe unayejaribu kutumia" isolated cases" kuonyesha kwamba Tanzania Kuna tatizo kubwa lakini hakuna media zinazotanga ila Kenya media ndio zinatangaza, unapaswa ujiulize, Je hao wanatoiweka Tanzania kuwa namba 58 na Kenya 116 duniani katika Amani nao pia wanatumia kufikiria Kama wewe?