Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi



So the ongoing drought in Tanzania is because of your government's incompetence? How do you people reason?

Wafugaji ni wajinga Sana,wanaona kuna ukame badala wauze mifugo yao Ili Hali ipite wanasubiria serikali..

Mama kawakazia ,kawachana live kwamba Hali hii iwafunze kufuga kwa tija..

Sisi Kusini tuna mvua kama zote na hatuhitaji mang'ombe huku,yanaharibu mazingira afu wanasepa na kuwaachia majanga.
 
kwamba waliopo ndan sio expert?
IMG_4433.jpg


juzijuzi wizara hii walisainisha na kampuni ya kihindi deal la $30m na Tanesco

mambo ya escrow , dowans yanaanzaga hivhiv, wizara hiihii

kampuni ya nje inakuja kukushauri wew kweny resources zako wew mwenyewe?.. wakikushauri wew chukua 10% wengine wachukue 90% kwa sababu hii na hii.. utakataa? wakat wew ndo umewatafuta!
 
Wagogo wanatakiwa kumjengea Magu Sanam pale Dom, kaiinua Dodoma kama pamba, utashangaa sana watu wanaosema aliipendelea Chato au Lake Zone
Nmepambana nao sana watu wanaosema hivyo humu JF, ni upumbavu mtu kusema Magu aliipendelea Chato wkt miradi imefanyika nchi nzima na miji mingine kama Dodoma imevunja rekodi kabisa.
 
kwamba waliopo ndan sio expert?
View attachment 2095632

juzijuzi wizara hii walisainisha na kampuni ya kihindi deal la $30m na Tanesco

mambo ya escrow , dowans yanaanzaga hivhiv, wizara hiihii

kampuni ya nje inakuja kukushauri wew kweny resources zako wew mwenyewe?.. wakikushauri wew chukua 10% wengine wachukue 90% kwa sababu hii na hii.. utakataa? wakat wew ndo umewatafuta!
Wewe unawajua ambao ni experts ?
 
kwamba waliopo ndan sio expert?
View attachment 2095632

juzijuzi wizara hii walisainisha na kampuni ya kihindi deal la $30m na Tanesco

mambo ya escrow , dowans yanaanzaga hivhiv, wizara hiihii

kampuni ya nje inakuja kukushauri wew kweny resources zako wew mwenyewe?.. wakikushauri wew chukua 10% wengine wachukue 90% kwa sababu hii na hii.. utakataa? wakat wew ndo umewatafuta!
Kwani Blair c ndio yupo Ikulu pale mkuu au umesahau.
 
Back
Top Bottom